Pata Nyumba/chumba na Viwanja Dodoma.

Pata Nyumba/chumba na Viwanja Dodoma.

rennesha

Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
63
Reaction score
38
Karibuni sana wageni mnaokuja katika Jiji jipya lenye fursa kibao.

Kwa anayetafuta Nyumba/vyumba au viwanja kwenye Jiji la Dodoma namkaribisha sana tufanye nae mawasiliano kupitia 0789805698 au PM.

Kwa waliopo Jiji la Dodoma nawakaribisha sana ofisi zetu zipo barabara ya 8 mkabala na one way(Dodoma Mjini).

Karibuni.
 
bei inategemea.

bei ya vyumba au nyumba haipo constant, hutofautiana kutokana na eneo nyumba ilipo, nyumba yenyewe na uhitaji wa mwenye nyumba.
nataka kiwanja maeneo ya nkuhungu
 
Nataka master na sebure bajet yangu 90k mahari popote ila pawe Mjini kidg na nyumba isiwe ina watu wengi full get
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom