baraka said
Member
- Sep 19, 2012
- 85
- 31
- Thread starter
- #21
Mikopo yetu ni kuanzia milioni 2 hadi milioni 10
Nikikopa shilingi milioni moja (1,000,000/=) kwa kipindi cha mwaka mmoja, yaani miezi 12 nitarudisha shilingi ngapi jumla?
Nitakuwa narudisha shilingi ngapi kila mwezi?
Tusaidie hapa
