Pata mkopo chap ndani ya masaa 24

Pata mkopo chap ndani ya masaa 24

baraka said

Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
85
Reaction score
31
Pata mkopo chap chap kwa masaa 24 kwa kutumia kadi ya gari yako kama mdhamini.

Pata Mkopo hadi Tsh. 10 Million ndani ya masaa 24 kwa kutumia kadi ya gari yako.

Tunapatikana mikocheni Dar es salaam 24/7.

Note: Huduma hii ni kwa watu waliopo dar es salaam tu kwa sasa.

Call us now: 0689 138 536


Tupo Dar es salaam.

Karibu Tukuhudumie
IMG_20190817_113341_442.jpeg
IMG_20190816_114804_638.jpeg
 
PATA MKOPO CHAP CHAP IN 24 Hrs KWA KUTUMIA KADI YA GARI YAKO KAMA MDHAMINI.
Pata Mkopo hadi Tsh. 10 Million ndani ya masaa 24 kwa KUTUMIA kadi ya GARI yako.

Tunapatikana mikocheni Dar es salaam 24/7.

Note: Huduma hii ni kwa watu waliopo dar es salaam tu kwa sasa.

Call us now: 0689 138 536


Tupo Dar es salaam.

Karibu TukuhudumieView attachment 1184299View attachment 1184301
Reba yake na kurudishA FUNGUKA
 
Si kweli mkuu... Mkopaji anakuwa proved kama ataweza kurejesha MKOPO before hata hajapewa.... Na kwa sasa tumeweka fair interest for both client and company
Kule singida mmewafilisi wafanyakaz wa serikali hadi huruma
Riba ni kubwa sanaaa
Hapo mnataka kuuza gar za watu tuu
 
Kule singida mmewafilisi wafanyakaz wa serikali hadi huruma
Riba ni kubwa sanaaa
Hapo mnataka kuuza gar za watu tuu
Sasa kama umeshindwa kulipa deni ufanywaje sasa , dawa ya deni lipa deni acheni kulia lia ...
 
PATA MKOPO CHAP CHAP IN 24 Hrs KWA KUTUMIA KADI YA GARI YAKO KAMA MDHAMINI.
Pata Mkopo hadi Tsh. 10 Million ndani ya masaa 24 kwa KUTUMIA kadi ya GARI yako.

Tunapatikana mikocheni Dar es salaam 24/7.

Note: Huduma hii ni kwa watu waliopo dar es salaam tu kwa sasa.

Call us now: 0689 138 536


Tupo Dar es salaam.

Karibu TukuhudumieView attachment 1184299View attachment 1184301
weka riba kwa mwaka ndio tukuelewe sasa masaa 24 ndio nini?
 
Ukikubali Kulaliwa Mwisho Utapasuka Utakuwa Kama Pono.
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Hivi Tanzania hakuna chombo cha ku regulate riba za taasisi za kifedha kama ilivyo kwa EURA? maana naona kila taasisi inayokopesha inajikadiria riba yake ipendavyo na inaendelea kutusua tuu fedha z walalahoi wasijua riba nini maana yake na ina effect gani kwenye mkopo
 
Riba ni 7.5% mkuu
Nadhani hapo umenipigia kinume na standard za kimataifa ambapo riba ni per unnum (kwa mwaka) na inavyoonyesha hapo huo ni mwezi mmoja tuu.

1. Mtu akichukua kwenu mkopo kwa mwaka mmoja riba ni (7.5 x 12) = 90%

2. Miaka miwili (7.5 x 24) = 150%

3. Miaka 4 (7.5 x48)= 360%

4. Miaka 6 (7.5 x 72) = 540%
Hapa ndio mnawapigia waalimu na kuwafanya wajiue kwa msongo wa mawazo wa madeni na kuishi katika mazingira magumu
 
Maximum time ya mkopo wetu ni miezi 12 and You can pay it in only a month. Hatutoi mikopo zaidi ya miezi 12. Kwa iyo unapopigia iyo accumulation ya mwaka mzima unakuwa unawapotosha watu mkuu
Nadhani hapo umenipigia kinume na standard za kimataifa ambapo riba ni per unnum (kwa mwaka) na inavyoonyesha hapo huo ni mwezi mmoja tuu.

1. Mtu akichukua kwenu mkopo kwa mwaka mmoja riba ni (7.5 x 12) = 90%

2. Miaka miwili (7.5 x 24) = 150%

3. Miaka 4 (7.5 x48)= 360%

4. Miaka 6 (7.5 x 72) = 540%
Hapa ndio mnawapigia waalimu na kuwafanya wajiue kwa msongo wa mawazo wa madeni na kuishi katika mazingira magumu
 
Nikikopa shilingi milioni moja (1,000,000/=) kwa kipindi cha mwaka mmoja, yaani miezi 12 nitarudisha shilingi ngapi jumla?

Nitakuwa narudisha shilingi ngapi kila mwezi?

Tusaidie hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom