Pata mashamba Bagamoyo

Pata mashamba Bagamoyo

Kwa wale wahitaji we mashamba Bagamoyo, sasa unaweza kupata shamba Bagamoyo,maeneo ya Kiwangwa kunakolimwa mananasi pamoja na Fukayose. Lakini pia kwa wale wanaohitaji maeneo ya Kilomo yanapatikana, kwa sasa watu wameanza kukata viwanja, pia kama una shamba unauza maeneo hayo tuwasiliane.

Ukubwa wa eneo ni kulingana na mahitaji yako, bei ni Tsh.350,000 kwa heka na kuendelea kulingana na mahali shamba lilipo. Kwa mawasiliano piga 0773 944 944 Karibuni


Haya Mashamba yapo umbali gani kutoka barabara kuu?
 
Kwa wale wahitaji we mashamba Bagamoyo, sasa unaweza kupata shamba Bagamoyo,maeneo ya Kiwangwa kunakolimwa mananasi pamoja na Fukayose. Lakini pia kwa wale wanaohitaji maeneo ya Kilomo yanapatikana, kwa sasa watu wameanza kukata viwanja, pia kama una shamba unauza maeneo hayo tuwasiliane.

Ukubwa wa eneo ni kulingana na mahitaji yako, bei ni Tsh.350,000 kwa heka na kuendelea kulingana na mahali shamba lilipo. Kwa mawasiliano piga 0773 944 944 Karibuni

Nauza Shamba ( kiwanja) Ni Heka Moja. kipo nyuma ya shule ya msingi Kilomo kilometer 3. kutoka kilomo Shule ya msingi. Bei kwa Heka ni Mil.4.5 (inaongeleka). Kama utahitaji Eneo zaidi Utaongeza hapo hapo ,coz Shamba ni kubwa sana.
kama una hitaji Ni pm
 
Back
Top Bottom