Pata line za wakala

Pata line za wakala

Nommy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
448
Reaction score
27
Tigo 270
Airtel 130
MPESA 170 tu....

Na logbook zake

0712191251
 
Sielewi kwa nini hizi laini zinauzwa wakati unawafanyia kazi yao as partner
 
Tigo 270
Airtel 130
MPESA 170 tu....

Na logbook zake

0712191251

Haziuzwi, nimepata kwa cost ya Tshs.10,000 each ikiwa ni gharama ya wakili ku certify leseni na TIN number. Kununua ni.......(Mkapa)
 
kweli mambo yana badirika nakumbuka kipindi cha nyuma line ya tigo pesa bila laki 6,kwenda juu huipati!! leo 270!!!
 
kweli mambo yana badirika nakumbuka kipindi cha nyuma line ya tigo pesa bila laki 6,kwenda juu huipati!! leo 270!!!

tena sio lak sita tu had lk nane .... ht leo kuna wanaouza kwa bei hyo
 
Haziuzwi, nimepata kwa cost ya Tshs.10,000 each ikiwa ni gharama ya wakili ku certify leseni na TIN number. Kununua ni.......(Mkapa)

waelekez wenzio ulipochukua bure nao waende ... ht mm pia nielekze nijue ni wap
 
waelekez wenzio ulipochukua bure nao waende ... ht mm pia nielekze nijue ni wap

Nenda ofisi za Vodacom, tigo au airtel ukiwa na Tin Number, leseni halali ya biashara, kitambulisho Chochote chenye picha yako, picha passport size 3 ..........Mimi nipo Iringa nimepata hivyo vyote free.....tigo kidogo kunaucheleweshaji...
 
tena sio lak sita tu had lk nane .... ht leo kuna wanaouza kwa bei hyo

Brother unachanganya na issue ya mtaji wa kuanzia, tili ni bure.....Voda niliambiwa nianze na mtaji wa LAKI 3, napiga mzigo....
 
nataka Tigo pesa na Mpesa kwa 300,000 zote. kama awezekana nipm
 
????
Hizo bei elekezi hapo juu, ni laini zenye access ya Wakala au ni laini pamoja na mtaji(float)???
 
Brother unachanganya na issue ya mtaji wa kuanzia, tili ni bure.....Voda niliambiwa nianze na mtaji wa LAKI 3, napiga mzigo....

al the best endelea kupiga kaz tuijenge nchi yetu
 
Nenda ofisi za Vodacom, tigo au airtel ukiwa na Tin Number, leseni halali ya biashara, kitambulisho Chochote chenye picha yako, picha passport size 3 ..........Mimi nipo Iringa nimepata hivyo vyote free.....tigo kidogo kunaucheleweshaji...

unapotosha anyway kila lakheli mkuu endelea kufanya kazi tuijenge nchi yetu na vizazi vijavyo ... blessed
 
nataka Tigo pesa na Mpesa kwa 300,000 zote. kama awezekana nipm

nataman sana nikusaidie lkn ipo chini boss tgo zipo juu sana till zake
 
hapan ni kwa line tu float utaweka kwanzia 100k
 
Sielewi kwa nini hizi laini zinauzwa wakati unawafanyia kazi yao as partner

haziuzwi ila ni uvivu tu wa watu kufuatilia na kuzipata mahala husika.
kama ujuavyo waTanzania wengi tunapenda shortcuts.
 
haziuzwi ila ni uvivu tu wa watu kufuatilia na kuzipata mahala husika.
kama ujuavyo waTanzania wengi tunapenda shortcuts.

.....kweli eeeh sawasawa wamesikia boss
 
Back
Top Bottom