Pata kuku wa nyama hapa

Pata kuku wa nyama hapa

Joined
May 30, 2015
Posts
31
Reaction score
3
Habari za wkend wapendwa

wapendwa nauza kuku wa nyama na kusambasa mahoteli na sehem zozote panapoitajika, mzgo utakufkia popote ulipo ndani ya dar es salaam pekee
kwa maelezo na mwenye kuhitaji njoo PM tuongee biashara.
Ahsante.
 
Hivi hao kuku hawana bei mkuu maana naona tangazo linahang tu hapo hadi kuku nao bei hutaji khaa
 
Hivi hao kuku hawana bei mkuu maana naona tangazo linahang tu hapo hadi kuku nao bei hutaji khaa

samahan mkuu kwa kutokutaja bei ni sh elfu 5 upungufu upo inategemea na idadi ya wangap unahitaji
 
Back
Top Bottom