SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Habari za leo? Kwa mtu ambaye anahitaji kiwanja Bunju B naomba tuwasiliane. Kiwanja ninachokiuza kiko Block 13 njia ya Kwenda Mabwe Pande. Umbali ni kilomita 2.5 toka barabara kuu iendayo Bagamoyo mkono wa kushoto kama unatoka Dar es Salaam. Bei ni shilingi milioni 25. Ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba 1735. Simu yangu ni 0654 467758. Kina hati. Ni sehemu ya viwanja 20,000 vilivyopimwa na wizara husika.
Habari za leo? Kwa mtu ambaye anahitaji kiwanja Bunju B naomba tuwasiliane. Kiwanja ninachokiuza kiko Block 13 njia ya Kwenda Mabwe Pande. Umbali ni kilomita 2.5 toka barabara kuu iendayo Bagamoyo mkono wa kushoto kama unatoka Dar es Salaam. Bei ni shilingi milioni 25. Ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba 1735. Simu yangu ni 0654 467758. Kina hati. Ni sehemu ya viwanja 20,000 vilivyopimwa na wizara husika.