Pata elimu kidogo kuhusu makato CRDB

Big Phil

Member
Nov 20, 2019
50
338
Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato...
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndan ya benk (Over the counter)?

b) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya!
benk (Over the counter) au internet Banking?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba resiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?

d) Je, ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababau ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je, unajua ni kiasi gan wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?

e) Je, unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=

b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=

d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=

e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=

iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=

iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=

v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano
kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=

ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=

iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=

iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=

iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia
hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 4000,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free. Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kulikokukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk

imeandaliwa na Big Phil
 
Hakika haya mabank yananeemeka Sana kupitia mishahara ya wanyonge, Hawa wenye mabank hawakustahili kutupurula kiasi hicho ili hali feza zetu wanaziweka ktk mzunguko wa kukopesha watu, Ingawa wametusave Sana ktk suala la Usalama wa feza zetu ila wanatunyonya saaana.
 
Hakika haya mabank yananeemeka Sana kupitia mishahara ya wanyonge, Hawa wenye mabank hawakustahili kutupurula kiasi hicho ili hali feza zetu wanaziweka ktk mzunguko wa kukopesha watu, Ingawa wametusave Sana ktk suala la Usalama wa feza zetu ila wanatunyonya saaana.
Shida ipo kwetu , huwa hatusomi those fine prints ..na huko ndo kumefichwa siri zote .
Nilikuwa sijui kwamba ukitoa 50,000 mara tatu kwenye Atm unakatwa karibu 3900 , wakati anayetoa 400,000 anakatwa 1500tshs
 
Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato...
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndan ya benk (Over the counter)?

b) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya!
benk (Over the counter) au internet Banking...?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba resiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking...? Kipi bora...?

d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababau ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gan wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani...?

e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=

b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=

d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=

e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=

iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=

iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=

v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano
kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=

ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=

iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=

iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=

iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia
hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 4000,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia
internet banking ni free. Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kulikokukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk

imeandaliwa na Big Phil
Kiongozi asante sana kwa kutuelimisha hasa sisi wa bush hakuna ATM kuna mawakala kibao kumbe tunapigwa kichizi
 
Nchi mbili za Ulaya (Sweden na Holland) nazofahamu.

1) Kutoa pesa ni bure
2) Kuhamisha au kutuma pesa ni bure
3) Kuangalia salio ni bure hata uangalie mara 100.
4) Makato pekee ni kulipia kadi kwa mwezi, pesa ambayo ni sawa na bure tu ukilinganisha na thamani ya pesa kwa nchi husika.
5) Tena kwa nchi kama Sweden hata kadi haulipii kwa mwezi ukiwa Mwanafunzi. Yaani huduma zote ni bure.

Sisi Banks zetu makato kila kipengere. Nimeshangaa hata kuangalia salio SimBanking CRDB eti wameifanya kuwa huduma ya kulipia. Unyonyaji tu huu.

Any way; mtoa mada unaposema Internet banking ni bure kuangalia salio unamanisha nini? Hii huduma ikoje?
 
Kwa kuongezea, jitahidi uwe unatunza sile a.k.a coins, zinasaidia ukienda kutoa hela. Kwa mfano unataka 50000 kwa wakala, instead ya kutoa elf 50, toa 49,900 af umpe wakala tsh 100 ili akupe 50,000 kamili. Hapo utakua umekatwa 1500 instead ya 2200. So automatically unasave 700 inabaki kwenye account yako.
 
Kwa wanaotumia ATM, kaa ukijua mashine ina uwezo wa kutoa hadi noti 40 kwa wakati mmoja. So kama ziko elf 10 pekee unaeza kutoa hadi laki 4 kwa wakati mmoja, na kama zipo elf 5 unaeza kutoa hadi laki mbili at once.
 
Zamanai benki zilikuwa hivi hivi hata hapa Tanzania. Huu wizi wa kupitia makato ni wa hivi karibuni.
Nchi mbili za Ulaya (Sweden na Holland) nazofahamu.

1) Kutoa pesa ni bure
2) Kuhamisha au kutuma pesa ni bure
3) Kuangalia salio ni bure hata uangalie mara 100.
4) Makato pekee ni kulipia kadi kwa mwezi, pesa ambayo ni sawa na bure tu ukilinganisha na thamani ya pesa kwa nchi husika.
5) Tena kwa nchi kama Sweden hata kadi haulipii kwa mwezi ukiwa Mwanafunzi. Yaani huduma zote ni bure.

Sisi Banks zetu makato kila kipengere. Nimeshangaa hata kuangalia salio SimBanking CRDB eti wameifanya kuwa huduma ya kulipia. Unyonyaji tu huu.

Any way; mtoa mada unaposema Internet banking ni bure kuangalia salio unamanisha nini? Hii huduma ikoje?
 
Naomba makampuni ya simu nayo yaanze kuwakata watu wabenki wanapoangalia salio la muda wa maongezi na data ili wajue jinsi inavyoumiza.
Sisi Banks zetu makato kila kipengere. Nimeshangaa hata kuangalia salio SimBanking CRDB eti wameifanya kuwa huduma ya kulipia. Unyonyaji tu huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom