Pata dagaa safi wa Mwanza waliokaangwa.

Pata dagaa safi wa Mwanza waliokaangwa.

Riben

Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
58
Reaction score
10
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Wenye matumizi ya nyumbani , kuuza gengeni, sokoni na supermarket. Bei ni nafuu na ziko kwenye attractive packages. Karibuni wakuu
 
Sample hii hapa
 

Attachments

  • 1430948725318.jpg
    1430948725318.jpg
    43.9 KB · Views: 500
Sample hii hapa

Inapendeza ila hujakamilisha tangazo lako: mfano => huo ujazo ni wa namna gani ( kg )ngapi, bei gani, umetumia mafuta gani kuwakaanga na wamekaangwa baada ya kuvuliwa au walikaushwa kwanza?
 
Asante..nitaboresha tangazo soon. Hawa wamekaangwa wakiwa wabichi bado. Paketi kama hiyo ni sh. 1200 tu. Vipimo vingine kuanzia robo, mpaka kilogram ni kutegemea na bei na maelewano yetu . Zimekaangwa kwa mafuta ya kawaida ya korie
 
Achana na mafuta ya korie wewe!. Tayari umeshanifukuza kwa sasa.

Utakapoacha kutumia korie, utaniambia nahitaji kilo mia kadhaa hivi.

Asante..nitaboresha tangazo soon. Hawa wamekaangwa wakiwa wabichi bado. Paketi kama hiyo ni sh. 1200 tu. Vipimo vingine kuanzia robo, mpaka kilogram ni kutegemea na bei na maelewano yetu . Zimekaangwa kwa mafuta ya kawaida ya korie
 
Okay asante . Usijali tunaweza kukubaliana then gharama iongezeke naweza kutumia mafuta ya alzeti kwa sababu yako. Karibu
 
Asante..nitaboresha tangazo soon. Hawa wamekaangwa wakiwa wabichi bado. Paketi kama hiyo ni sh. 1200 tu. Vipimo vingine kuanzia robo, mpaka kilogram ni kutegemea na bei na maelewano yetu . Zimekaangwa kwa mafuta ya kawaida ya korie
Bado una uwezo wa kunyambua bei kufuata kg kwa kuwa lazima ufahamu umetumia gharama kiasi gani kwa kg na hiyo ndio inayokupelekea kupata bei ya hiyo parking
 
Ndio na hiyo bei nimepanga kwa gharama ninayotumia mkuu. Niko maeneo ya Mabibo hostel
 
Yes..unaletewa ulipo mkuu kulingana na kiasi unachochukua
 
hongera kwa ubunifu huo
pia tafuta ubia na wengine ili zisambazwe tz nzima lakn pia ifanye iwe kampuni
 
Back
Top Bottom