Pata cement kwa bei ya jumla

Pata cement kwa bei ya jumla

Mkuu vipi kama nataka cement ya matumizi binafsi? Nahitaji mifuko kama 300-350. Unaweza kunisafirishia mpaka Biharamulo? Kama utanisafirishia, mfuko utanipa kwa shillingi ngapi (Dangote na Twiga?)

Asante
 
Mkuu vipi kama nataka cement ya matumizi binafsi? Nahitaji mifuko kama 300-350. Unaweza kunisafirishia mpaka Biharamulo? Kama utanisafirishia, mfuko utanipa kwa shillingi ngapi (Dangote na Twiga?)

Asante
Kwa mikoa ya mbali tunasafiriaha,, nichek kwa namba 0688121308
 
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja na usafir, namba za mawasiliano 0688121308.

Pata cement kwa bei nafuu kabisa ya jumla
Cement ya Dangote vipi inapatikana?
 
Na bei vp kuhusu bei mkuu huwa znatofautiana au huwa bei ni moja tu.?
Wadau kwema? Asanteni kwa elimu nzuri. Naomba kujua Wakala (middle man) wa Simenti aliyepo maeneo ya King'azi/mbezi ya kimara ili kupata simenti kwa bei nafuu kwa ajili ya ujenzi siyo kuuza.
 
Kwa mwanza unaweza safarisha hasa twiga cement kwa hiyo bei ya 13300 au ni kulipia mzigo na usafiri nijitafutie
 
Back
Top Bottom