Kwa mikoa ya mbali tunasafiriaha,, nichek kwa namba 0688121308Mkuu vipi kama nataka cement ya matumizi binafsi? Nahitaji mifuko kama 300-350. Unaweza kunisafirishia mpaka Biharamulo? Kama utanisafirishia, mfuko utanipa kwa shillingi ngapi (Dangote na Twiga?)
Asante
Cement ya Dangote vipi inapatikana?Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja na usafir, namba za mawasiliano 0688121308.
Pata cement kwa bei nafuu kabisa ya jumla
Inapatikana pia
Wadau kwema? Asanteni kwa elimu nzuri. Naomba kujua Wakala (middle man) wa Simenti aliyepo maeneo ya King'azi/mbezi ya kimara ili kupata simenti kwa bei nafuu kwa ajili ya ujenzi siyo kuuza.Na bei vp kuhusu bei mkuu huwa znatofautiana au huwa bei ni moja tu.?