Mimi bebi wangu, piko wa moyo wangu
Matola kaweka. Password, ila i dont fret at all! Sitishiki nayo kabisaaa!
WHY? BCAUSE I TRUST HIM, AND I TRUST ME THAT HE WAS NOT A MISTAKE! Mambo mengine private kama balance za Mpesa, na bank kwa wale wa mobile banking, maugomvi ya kifamilia, bosi anakipa za uso, your partner doesnt have to know!