Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kwa wale vijana wenzangu mliopo ndani ya mahusiano ukiona katika mahusiano yako hakuna upendo tambua ya kwamba hapo hakuna cha future wala maisha
Unapoona mwenza wako amefikia hatua upendo wake umepungua kwako na siku zinavyozidi kusonga mbele upendo hakuna tambua hapo hakuna tena maisha ya badae na ukiendelea kung’ang’ania utajiumiza hivyo basi unapoona. Dalili zote huna Amani na hayo mahusiano fanya ampango uleft mapema usije ukajidanyanya
Atabadilika, yataisha au tutaseameana ukajipa moyo anakupenda ukajipa moyo huyu ndo my future wife, housband, unajidanya
Kwa yalinikuta mimi nimeshajifunza
Unapoona mwenza wako amefikia hatua upendo wake umepungua kwako na siku zinavyozidi kusonga mbele upendo hakuna tambua hapo hakuna tena maisha ya badae na ukiendelea kung’ang’ania utajiumiza hivyo basi unapoona. Dalili zote huna Amani na hayo mahusiano fanya ampango uleft mapema usije ukajidanyanya
Atabadilika, yataisha au tutaseameana ukajipa moyo anakupenda ukajipa moyo huyu ndo my future wife, housband, unajidanya
Kwa yalinikuta mimi nimeshajifunza