Pasco Mayala Asimulia Zengwe la Kumtoa TBC

Pasco Mayala Asimulia Zengwe la Kumtoa TBC

Status
Not open for further replies.

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Nilikua sijawahi kukutana na huyu jama kwa karibu kama siku ile ya Kumbukumbu ya Regia Mtema ambapo alikua MC, kuna mengi alisimulia lakini hili la kuondoka TBC lilinitafakarisha sana..................waliokuwepo waanze kutiririka mimi nitajazia simulizi za huyu jamaaa..........ama kweli ni jembe lililozinguliwa/KATALIWA TBC .......................



  1. He is very analytical
  2. very deep in reading
  3. very intellectual
  4. very.....................

May the Lord's mercy be with you brother...............
 
Wewe kuwa narrator basi, mie ndo nijazie nyama. Sitanogesha kama wewe mkuu. Haya endelea.
 
Nilikua sijawahi kukutana na huyu jama kwa karibu kama siku ile ya Kumbukumbu ya Regia Mtema ambapo alikua MC, kuna mengi alisimulia lakini hili la kuondoka TBC lilinitafakarisha sana..................waliokuwepo waanze kutiririka mimi nitajazia simulizi za huyu jamaaa..........ama kweli ni jembe lililozinguliwa/KATALIWA TBC .......................



  1. He is very analytical
  2. very deep in reading
  3. very intellectual
  4. very.....................

May the Lord's mercy be with you brother...............

Acha utoto.Kama lengo lilikuwa ni kumsifia, ungefanya hivyo na sio kutaka watu wafanye kazi unayotaka. Shame on u.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom