Pascal Mayalla: Rais punguza ukali

 
Unanichanganya mkuu. Aliyepikiwa chakula siku ile ulikuwa ni wewe au Pasco? Au mlienda wote? Nakumbuka Pasco tulikutana siku moja Samora wakati tunapiga stori alisema kitu kama hiki cha kupikiwa msosi na mazeli!
 
P
Yes anayo na sio moja!.

Sio kosa Mtanzania yoyote kumiliki mali yoyote alimradi hiyo mali iwe ni mali ya halali!.

Paskali
ascal, "anayo tena siyo moja". Nimekuuliza nyota ngapi? "tena siyo moja" umetupa pa kuanzia. Anataka kutenganisha biashara na uongozi, aanze na hoteli hizo. Nahisi harufu ya ufisadi kwa JPM. Time will tell.
 
Unanichanganya mkuu. Aliyepikiwa chakula siku ile ulikuwa ni wewe au Pasco? Au mlienda wote? Nakumbuka Pasco tulikutana siku moja Samora wakati tunapiga stori alisema kitu kama hiki cha kupikiwa msosi na mazeli!
Mkuu Mzito Kabwela, hakuna utata wowote kati ya Pasco wa JF na Pascal Mayalla, ni mtu mmoja yule yule lakini katika nafsi mbili tofauti. Kila mtu mwenye jina la Pascal, Paschal, Paskali, Pasquale, Pasca, kifupi cha majina hayo ni Pasco, hivyo Pasco wa JF ni kifupi cha jina la Pascal Mayalla.

Kwa vile jf ni ukumbi wa ma great thinkers naomba tusifanye mjadala wa majina na persona kati Pascal Mayalla na Pasco wa JF kwa sababu it is the contents that matters, yaani tujadili issues na sio kujadili watu.

Paskali, a.k.a Pasco wa JF.
 

Pasco Mayalla Nakuheshimu sana, Na Nakushukuru Mno, Umefanya Jambo Jema sana Kwa Kufuungua Njia Kwa Waandishi Kuuliza Maswali yenye Maana na Yanayolenga Kuwa Kiyoo cha Kuonyesha yanayoendelea Nchini. I salute you Sir! and agian Thank you a Lot!
 
Pasco Mayalla Nakuheshimu sana, Na Nakushukuru Mno, Umefanya Jambo Jema sana Kwa Kufuungua Njia Kwa Waandishi Kuuliza Maswali yenye Maana na Yanayolenga Kuwa Kiyoo cha Kuonyesha yanayoendelea Nchini. I salute you Sir! and agian Thank you a Lot!
Mkuu Mokili Fumulauhi, asante. Pamoja sana.
Paskali
 
Pasco acha fujo ule utundu wako wa udsm hujauacha tu ....maana ulikuwa unapendaga kujibu maswali hata kama hujayaelewa kwa kifupi na ww ni mpenda sifa na mjuaji
 

Hongera kwa hilo na hakika umetusemea wengi kwani wengi wao wapatao nafasi ya kuonana naye ni wanafiki, hawamuelezi ukweli, huyu mtu ni mwl. najiuliza psychology ya ualimu ya kudeal na watu wenye tabia tofauti tofauti amepeleka wapi?
 
Mkuu Mokili Fumulauhi, asante. Pamoja sana.
Paskali
Nimeshtuka kidogo, Paskali siku hizi chache ulizojitokeza baada ya ule Uzi wangu, @Pasco wa JF amepotea kabisa, ha ha ha. Ila kwa vile yeye anakiri kuwa ni msukuma kama wewe, wote mliwahi kusoma sheria, wote mnakiri kuwa ni waandishi by professional na hata umri mnaonekana mnarandana (what a coincidence) basi hapajaharibika kitu.
Tofauti yenu ni kuwa @Pasco hajifichi kupenda mabinti weupe kama Juliana Shonza (hajali kama ni mwehu, mfupi au mrefu,mkorofi nk) ila wewe labda kwa vile uko verified hilo unaficha kuogopa kibano kwa shemeji. Pengine na hilo mnafanana.
 
yeah utamkubali mtu kwa kumuona tu kwenye luninga n.k... lkn kuwa nae karibu ndo utamjua zaidi...
jamaa alikuwa umoja haouse EU kama naniliuu .. duh jamaa anajiona sana.
Mkuu Mwalla, mimi ni mtu niko very open, unaposema nilikuwa Umoja House kama naniliu unamanisha nini? .

Hili la kujiona ni tuhuma mpya kwangu, kwa vile mimi ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine hivyo nina madhaifu yangu, utakuwa umenisaidia sana na kuisaidia jf kama utafafanua kidogo nilikuwa najisikia kivipi? !.

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…