Pole sana ndugu, wema hawadumu, wanaonyanyasa wenzao kwa madaraka ndio wanadunda na mavichwa yao kama kambale mumi.Ni wiki moja tu imepita, Tulichati kwa whatsap.Tulikuwa tukicheka madakika yakapita.Sikujua Kama Ulikuwa waniaga, Umeondoka mkuu.Pumzika kwa Aman Kaka Fred,Mungu akupokee. Mpaka Sasa sielewi na pia siamini Kama kweli umetutoka, nawaza na kujifariji labda kesho utaamka.Taarifa za kifo chako, zinatatiza ni ngumu kuelewa.Pumzika kwa Aman Kaka Fred, Mungu akupokee. Taarifa zinaeleza ulikuwa watoka kijijini Kilolo, mara Izraeli akakupata,ghafla bila kujua Pumzika kwa Aman Kaka,hiyo ni njia yetu sote. Utakumbukwa Sana mitamdaoni,fb mpaka jf.Fb ulijulikana na ukurasa wako wa vichekesho,Tabasamu na Fuledi,wengi walikuelewa,na walipenda vichekesho vyako.Pumzika kwa Aman Kaka,Mungu akupokee.Ajali ya gari imekatisha uhai wako, Tena siku ya Pasaka,kweli kifo ni fumbo,nakosa hata wa kunisimulia ilikuwaje,kila mtu anasema juu juu tu,Pumzika kwa Aman broo Mungu akupokee.😭
Hii hoja namba tatu wengi sana tunaisahau, ndiyo tunajikuta tukisababisha ajali ambazo zingeweza kuepukikaKidrive kuna raha yake but kuna hitaji
1. Umakini
2. Sharp decision
3.Kuvumilia makosa ya wengine na kuresolve ili kuepusha madhara.
Head to head collision nyingi huwa zinasababishwa na point namba tatu. Ata kama unahaki unapomuona mwenzako amekosea mvumilie punguza mwendo, mpe nafasi ya kujirekebisha, madereva wa mabasi huwa hawana huo muda ukijichanganya anakuletea..ata yy akijichanganya hana muda wa kujiuliza mara mbili.Hii hoja namba tatu wengi sana tunaisahau, ndiyo tunajikuta tukisababisha ajali ambazo zingeweza kuepukika
Mnaweza kupata picha alikua ni mtu wa aina gani. Rip broView attachment 1078692
Inaonesha aligonga mvinyo akawa ana drive... Maana pasaka haiwezi ondoka na mtu hivi hivi....Kichwa cha habari kina utata kidogo “Pasaka imenipotezea Rafiki yangu......”inaleta maana tofauti,anyway RIP Fred !km itakupendeza mtoa post naomba utukumbishe post zake alizozitoa ndg yetu huyu (maana majina yetu JF ni ya bandia )ila na sisi tushiriki msiba huu kwa Feeling.
Vipi hutaki mpare. Niko hapa.Natamani nipate mume wa hivi.
Ila wachaga ndo wajeuri hatari
Nafarijikaga nimuone mwanaume amebeba mtoto hvyo jsmn...huwa nafurahi mnooo ht kamoyo kauzalendo ka kuendelea kuzaa ksnarudi kila mwaka 😊Mnaweza kupata picha alikua ni mtu wa aina gani. Rip broView attachment 1078692View attachment 1078693View attachment 1078694
Natamani nipate mume wa hivi.
Ila wachaga ndo wajeuri hatari
Natamani nipate mume wa hivi.
Ila wachaga ndo wajeuri hatari