Pasaka haijakamilika bila pilau na soda.

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,833
Jamani tusherehekee sikukuu ya kesho kwa kula na familia zetu. Vikao vya pombe tutaenda jioni.
 
Nawatakieni wana JF wenzangu Pasaka njema. Pilau na soda huku tukijumuika na familia zetu ni jambo la msingi mno.
 
Back
Top Bottom