Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,684 8,833 Apr 23, 2011 #1 Jamani tusherehekee sikukuu ya kesho kwa kula na familia zetu. Vikao vya pombe tutaenda jioni.
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Apr 23, 2011 #2 Mzuka sana. Ila wale wa msimu chachi wasikose.
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,066 4,085 Apr 23, 2011 #3 Nawatakieni wana JF wenzangu Pasaka njema. Pilau na soda huku tukijumuika na familia zetu ni jambo la msingi mno.
Nawatakieni wana JF wenzangu Pasaka njema. Pilau na soda huku tukijumuika na familia zetu ni jambo la msingi mno.