Part VIII: uko wapi rafiki? kuna cha kujifunza hapa!

Part VIII: uko wapi rafiki? kuna cha kujifunza hapa!

mi nimekuja mwenyewe maana nilikuwa nasubiri huu mlolongo., daa alhamis tunakusubiri mkuu maana kama nakuona vileeeeeeeee
prospa nimegundua humu jf kuna watu wachoyo, nimewaomba wawaiteni nyote, lkn wamepiga kimya, mimi niliita sauti ikakata!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mkuu nilikuwa nakuona kwenye corridor ya JF ukichangia thread nyingine nikahisi umetupotezea, asante kwa kutuendelezea habari hii, ila alhamic mbali a
nyway tunawaita wote
 
Mkuu nilikuwa nakuona kwenye corridor ya JF ukichangia thread nyingine nikahisi umetupotezea, asante kwa kutuendelezea habari hii, ila alhamic mbali a
nyway tunawaita wote

nilikuskia Foundation, kuna mtu alikuuliza nadhani jana, kuwa sionekani, ukamjibu kuwa umeniona nimechangia uzi fulani, nipo ila nilitingwa na kazi! Si unajua ajira ni kama ndoa, mwajiri akiamua anakutumia style yyt ile anayoona inafaaa! siwezi kuwapotezea, tumetoka mbali mkuu!
 
Last edited by a moderator:
nilikuskia Foundation, kuna mtu alikuuliza nadhani jana, kuwa sionekani, ukamjibu kuwa umeniona nimechangia uzi fulani, nipo ila nilitingwa na kazi! Si unajua ajira ni kama ndoa, mwajiri akiamua anakutumia style yyt ile anayoona inafaaa! siwezi kuwapotezea, tumetoka mbali mkuu!

Tunashukuru mkuu hata kuchukua sehemu ya muda wako kutuburudisha na kutuelimisha
 
Last edited by a moderator:
Huu mzigo nimeusubiri sana weekend yote nachungulia wapii!!! duh!! ila ingekua poa sana kama ingekua inashuka kwa ku skip one day hivi ila utabiri wangu wa mahakama itahusika hapa..lol!:A S wink:
 
Jtatu,jne,jtano mpaka alhamis mh!nilikua nahesabu siku,hujatwambia saa.
 
Aaah kwenye post yako ya kulalamika kutukanwa ulisema ukija utaipeleka story hadi mwisho vp bwanaaaaa.
 
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea.. Mkuu hadithi zako zimetugeuza watumwa gud job slim5 ila usikae mda sana ladha itapotea
 
Last edited by a moderator:
Bahati yako uko buguruni, ungekuwa huku nilipo ningekuchapaje!
 
Bahati yako uko buguruni, ungekuwa huku nilipo ningekuchapaje!
ram nilishahama, yale yalikuwa maisha ya familia, mbona nipo huku huku, jirani yako!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Back
Top Bottom