Part!!!part!!!part!!!wana JF wote mnakaribishwa!!

Sherehe isiyo na kilevi huisha haraka sana. Kwa hiyo tukitoka pale me najitole crate 7 za biere na 3 za soda pale karibu na kwako kuna bar kama 80 na karibu zote ni za ndugu zetu from musoma akina 'achinaadi' wakitaka zaidi watajiongezea wao kwa wao.
Hiyo mimi simo mkuu!
 
Back
Top Bottom