CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
- Thread starter
- #61
Hiyo mimi simo mkuu!Sherehe isiyo na kilevi huisha haraka sana. Kwa hiyo tukitoka pale me najitole crate 7 za biere na 3 za soda pale karibu na kwako kuna bar kama 80 na karibu zote ni za ndugu zetu from musoma akina 'achinaadi' wakitaka zaidi watajiongezea wao kwa wao.