Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Buji lazima nitie mguu huku nikiwa na yeboyebo zangu zenye alama ya jembe na nyundo
Haivutii, hakuna kilaji hapo.......
Vipi totoz watakuwepo....
Duh mama Ngina akiona hii maneno nitakuwa kwishnehi
Haivutii, hakuna kilaji hapo.......
Vipi totoz watakuwepo....
Duh mama Ngina akiona hii maneno nitakuwa kwishnehi
Ok thx!
Watu wa humu ndani sijui vp aise.
Nimeshasema no alcohol sasa kili baridi si alcohol?
Mara maji ya gold,mara eeeeeee kha!
Jamani kuna watu humu ndani ni pasua kichwa balaa.
Yes ni banana mkuu.Nadhani ni pale banana! Nitakuja ila nitapiga kwanza kili kadhaa pale kwenye bar ya mr kipara then nakuja ukiona jamaa kibonge hivi anabonga sana (nitakuwa bwax) mwenye toyota gx v8 ndio mimi. Ila toa tarehe na muda muafaka.
Watu wa humu ndani sijui vp aise.
Nimeshasema no alcohol sasa kili baridi si alcohol?
Mara maji ya gold,mara eeeeeee kha!
Jamani kuna watu humu ndani ni pasua kichwa balaa.
JAMANI NI NG'OMBE CHOMA,MBUZI CHOMA,KUKU CHOMA.BILA KUWASAHAU WALE WAPENZI WA'KICHURI',UGALI DONA/MTAMA/MUHOGO HUKU TUKISINDIKIZWA NA MUZIKI WA ENZI HIZO kama vile,marashi ya pemba,makumbele,rangi ya chungwa,mwisho wa mwezi,nacheka kilwa leo,kesi ya kanga,kisebengo,mtaa wa7,mpenzi ruta,amigo,baba paroko,lunch time,jogoo la shamba,isaya,dunia uwanja wa fujo,nimlilie nani,nimekusamehe.
Sure!!yani litakua bonge la party aise.......full kutafuna.Mambo ya sikinde kama kawa.jamani si iwe leo tu!ila kweli mi nipo serious yani napenda sana kuandaa hivi vitu vya kimrengo huu yani party isiyo sijui na high table,mgeni rasmi wala upande wa kiumeni na kikeni!full kujitafuna!i hope kutakuwa na mashindano ya kuimba hizo nyimbo i see!
Watakuwepo na watatoka humu humu jamvini!weka basi hata Tia Maria chupa moja....wakaka hendisamu watakuwepo....? wawe wamejazia vifua tafadhali.....
Mkuu ata familia nzima unaweza kuja nayo,that's why nimezuia vinywaji vikali.mkuu spika ukjua tarehe rasmi nitaona kama nitakuja, asante kwa mwaliko. naweza kuja na shemeji yako?
Hongera kwa kila kitu. Way to go!!