Part II: Wanaume sisi bhanaaaa....

MHHH???siku hizi mitandao inamaliza kila kitu.
 
makalio yataendelea kuwa udhaifu mkubwa wa wanaume kwa karne kadhaa zijazo..
 
Wanaume sisi kweli ni nyamaume.. kuna zingine zimenichekesha..
 
Huyu kijana kwa kumwangalia harakaharaka yuko Semister ya kwanza Mwaka wa Kwanza Chuo kikuu!
Hayo mazingira ni kule Dodoma!
Huyo binti ni Housigeli na alikuwa ametumwa dukani kununua sukari!
mjomba bila shaka hii ni uganda...jamaa hapo anamwambia nyambo ye mukwano chichi nawee tungende...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…