baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,859
Nyinyi mashabiki wa psg kuna jamaa anasema ni shabiki wenu ila kila siku yupo uzi wa Arsenal kamfuateni mumkalishe humu
Nyinyi mashabiki wa psg kuna jamaa anasema ni shabiki wenu ila kila siku yupo uzi wa Arsenal kamfuateni mumkalishe humu
Hatumtambui huyo mkuu..ni shabik wa kulia lia tu lkn moyo wakr uko Arsenal ana act tu.Nyinyi mashabiki wa psg kuna jamaa anasema ni shabiki wenu ila kila siku yupo uzi wa Arsenal kamfuateni mumkalishe humu
Ni maoni yako ngj tuyaheshim tu lkn mda utaongea.Hii timu ikijitahidi Sana itaishia robo fainali basi yani hakuna namna mnaweza kuingia nusu fainali achilia mbali fainali yenyewe.
Jana wameenyeshwa tu draw ..hii PSG ya sasa ndio itakuwa ni PSG mbovu kuwahi kutokea katika hii michuano ya uefa.Hii timu ikijitahidi Sana itaishia robo fainali basi yani hakuna namna mnaweza kuingia nusu fainali achilia mbali fainali yenyewe.
Timu ikishakuwa na mastaa wengi basi inakuwa sawa sawa na hakuna kitu Chelsea, Bayern, Liverpool wanaweza kubeba tena hili kombe ukizingatia R Madrid na Man U hawapo vyema ila PSG hahahaa hawavuki robo Hawa.Jana wameenyeshwa tu draw ..hii PSG ya sasa ndio itakuwa ni PSG mbovu kuwahi kutokea katika hii michuano ya uefa.
EPL ingemtoa mchezoni mapema sana.Messi ni sawa na hakuna kitu ndio maana hakuta kabisa kwenda EPL .
Hii timu inabebwa na Mbappe Sana.
PSG hakuna kitu hapa ..kikosi Tembo matokeo Sisimizi ..uefa hufiki popote
Timu ikishakuwa na mastaa wengi basi inakuwa sawa sawa na hakuna kitu Chelsea, Bayern, Liverpool wanaweza kubeba tena hili kombe ukizingatia R Madrid na Man U hawapo vyema ila PSG hahahaa hawavuki robo Hawa.
Hana uwezo wa kucheza EPL.Messi angetimkia city pangemfaa zaidi. Psg kila mtu anataka yeye afunge hata kama hayuko sehemu sahihi atalazimisha huku Messi akibaniwa pasi. Ni upumbafu haswaa. Kilichoniuzi pia kocha kampiga sub 😁 kwa style iyo wasahau uefa.