Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
"Dkt. Samia Suluhu Hassan ni uthibisho kuwa wanawake wakipewa nafasi taifa limesonga mbele" Paresso
Ameongeza akisema "miaka minne iliyopita Dkt. Samia Suluhu Hassan si kwamba tumemsikia kwa maneno lakini pia tumemshuhidia kwa vitendo vya kimaendeleo" Amesema Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso
Paresso ameyasema hayo leo Oktoba 4, mbele ya Samia alipokuwa akifanya kampeni Babati, Mkoani Manyara.
Ameongeza akisema "miaka minne iliyopita Dkt. Samia Suluhu Hassan si kwamba tumemsikia kwa maneno lakini pia tumemshuhidia kwa vitendo vya kimaendeleo" Amesema Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso
Paresso ameyasema hayo leo Oktoba 4, mbele ya Samia alipokuwa akifanya kampeni Babati, Mkoani Manyara.