Papo Kwa Papo

Papo Kwa Papo

Azizi J Hamad

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
442
Reaction score
230
Ilani ya CCM, Sura ya 10, Ibara ya 251,(e), Uk.299. Hatua nyingine muhimu kwa Chama katika kusimamia utekelezaji wa Ilani ni kuhakikisha kuwa, Chama kinatenga siku maalum kila wiki ili kusikiliza kero za wananchi na kuzifikisha serikalini kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi.

Kila siku ya Jumamosi, Chama Cha Mapinduzi kupitia Idara ya Itikadi na Uenezi inaskiliza kero za wananchi na kiziwasilisha serikalini papo kwa papo kwa ajili ya ufafanuzi na utatuzi wake, kupitia kipindi cha Papo kwa Papo, kuanzia saa3:00-5:00 usiku.

#PapoKwaPapo
 

Attachments

  • IMG_20210220_183202_743.jpg
    IMG_20210220_183202_743.jpg
    66 KB · Views: 15
Sawa mkuu lakini mngewashauri sasa wafungue account JamiiForums yangu ni hayo
 
Hii katiba ndo inatumika leo
 
Majizi ya kura hayawezi kuja huku maana wanajua hakuna wa kuwaongopea. Huko kwenye vipindi vya TV wanapangana majizi ya kura ili kuhadaa umma.
Unamjuaje mwizi kama wewe sio mwizi?
 
Mimi nitawauliza kero yangu ndogo; Ya ni lini hasa, iwe siku/mwaka mtakayo kubali kwa hiyari kutuachia nchi yetu!

Maana Watanzania tulio wengi kiukweli TUMEWACHOKA!!
 
Inakuja baaa ya wabunge kutotimiza wajibu wao au
 
Mburula tu huyu, alizdhani kugombea lazima achaguliwe. Amebakiza kinyongo tu.

Sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa, hata ingekuwa nimewahi kugombea, bado ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Back
Top Bottom