Azizi J Hamad
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 442
- 230
Ilani ya CCM, Sura ya 10, Ibara ya 251,(e), Uk.299. Hatua nyingine muhimu kwa Chama katika kusimamia utekelezaji wa Ilani ni kuhakikisha kuwa, Chama kinatenga siku maalum kila wiki ili kusikiliza kero za wananchi na kuzifikisha serikalini kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi.
Chama Cha Mapinduzi kimeamua kutumia uwanja wa Papo Kwa Papo, kuwa ni njia mojawapo ya sehemu ya kukutanisha viongozi na wananchi wote, ili kufikisha changamoto na kero zao, kisha ziweze kupata ufumbuzi.
Mimi nimeamua kuwa mubashara kila siku ya Jumamosi kufuatilia kipindi hiki cha Papo kwa Papo, na sitaki kufanya ajizi kukushauri ewe mtanzania mwenzangu kuungana na mimi na watanzania wote kufuatilia kipindi hiki kila siku ya Jumamosi saa3:00-5:00 usiku kupitia channel 10, Uhuru fm redio, mitandao ya kijamii ya Chama Cha Mapinduzi, pamoja na ile ya Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi Ndg.Humphrey Polepole. {Youtube, Facebook na Twitter}
#PapoKwaPapo
Chama Cha Mapinduzi kimeamua kutumia uwanja wa Papo Kwa Papo, kuwa ni njia mojawapo ya sehemu ya kukutanisha viongozi na wananchi wote, ili kufikisha changamoto na kero zao, kisha ziweze kupata ufumbuzi.
Mimi nimeamua kuwa mubashara kila siku ya Jumamosi kufuatilia kipindi hiki cha Papo kwa Papo, na sitaki kufanya ajizi kukushauri ewe mtanzania mwenzangu kuungana na mimi na watanzania wote kufuatilia kipindi hiki kila siku ya Jumamosi saa3:00-5:00 usiku kupitia channel 10, Uhuru fm redio, mitandao ya kijamii ya Chama Cha Mapinduzi, pamoja na ile ya Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi Ndg.Humphrey Polepole. {Youtube, Facebook na Twitter}
#PapoKwaPapo