JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Emanuel Papian amezidi kug'ara kwenye mikutano ya kampeni Wilayani Kiteto baada ya kukubalika kwenye hutuba zake kwa kushangiliwa na wananchi pamoja na gari lake kusukubwa kama ishara ya kukubalika
Wakati Papian akipokelewa kwa shangwe katika mikutano hiyo Benedict Ole Nangoro amejikuta katika wakati mgumy=u baada ya zomeazomea kutawala katika maeneo mbalimbali akidaiwa kujibu hoja za wananchi wakimtaka aeleze kuwa alikuwa wapi siku zote
kukosekana kwa majibu hayo kumewafanya wananchi kumzomea kila eneo huku katika kata ya matui Jeshi la Polisi likilazimika kuulinda mkutano kwa silaha kali na mabomu
Wakati Papian akipokelewa kwa shangwe katika mikutano hiyo Benedict Ole Nangoro amejikuta katika wakati mgumy=u baada ya zomeazomea kutawala katika maeneo mbalimbali akidaiwa kujibu hoja za wananchi wakimtaka aeleze kuwa alikuwa wapi siku zote
kukosekana kwa majibu hayo kumewafanya wananchi kumzomea kila eneo huku katika kata ya matui Jeshi la Polisi likilazimika kuulinda mkutano kwa silaha kali na mabomu