NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,738
Kiungo nyota wa Wekundu wa Msimbazi Pape Sakho ameitwa kwa mara nyingine kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal kitakachocheza dhidi Benin na baada mchezo wa kirafiki dhidi ya Brazil
Sakho amejumuishwa kwenye kikosi cha Simba hao wa Teranga kilichosheheni wachezaji nyota wanaosakata soka sehemu mbalimbali Duniani.
Sakho amejumuishwa kwenye kikosi cha Simba hao wa Teranga kilichosheheni wachezaji nyota wanaosakata soka sehemu mbalimbali Duniani.