njiwa JF-Expert Member Apr 16, 2009 12,417 5,620 Sep 1, 2012 #3 hii sasa vurugu! yaani avalia suruali kifuani
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,356 Sep 1, 2012 #4 kanda ya nini ya papaa kutinga mu trouser kwa chest
Kanyapini JF-Expert Member Jul 25, 2012 295 80 Sep 2, 2012 #5 Lazima atakuwa mhaya huyo. na-beep.!!!!!!!!!:welcome:
M markj JF-Expert Member Jul 6, 2012 1,778 685 Sep 2, 2012 #6 wakivalia kifuani ishu,wakivalia chini ya ****** pia ishu! sasa wataanza kuvalia kwenye magoti, alafu mwishoe kwenye vigimbi jamani, hahaha
wakivalia kifuani ishu,wakivalia chini ya ****** pia ishu! sasa wataanza kuvalia kwenye magoti, alafu mwishoe kwenye vigimbi jamani, hahaha
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Sep 2, 2012 #7 Kuna jamaa mmoja wa A-Town naye huwa anavaa hivi hivi!!! Yaani kituko balaa!!!
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 535 Sep 2, 2012 Thread starter #9 nyuki dume said: Ndenge malamu Click to expand... Uzaa wapi?
Kamkuki JF-Expert Member Feb 1, 2011 1,672 972 Sep 2, 2012 #10 huyu jamaa ni dalali wa magari pale kidongo chekundu gerezani na ni MUHA toka kigoma
Superman JF-Expert Member Mar 31, 2007 5,695 1,696 Sep 2, 2012 #12 Mokili ya Mzambe, nakuya sasa kumwinu ile mutu ya watu, ile mutu mkulu mkulu kabisa. Ile mutu ya pesa mingi.
Mokili ya Mzambe, nakuya sasa kumwinu ile mutu ya watu, ile mutu mkulu mkulu kabisa. Ile mutu ya pesa mingi.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,153 13,223 Sep 3, 2012 #13 hana lolote huyu hapo anawaza akatapeli wapi....
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 4, 2012 #14 sasa hapo ana tofauti gani na mjamwepesi,ukishikwa na kuhara mpaka suruali ishuke ushachafuka tayari.
sasa hapo ana tofauti gani na mjamwepesi,ukishikwa na kuhara mpaka suruali ishuke ushachafuka tayari.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,104 Sep 4, 2012 #15 Superman said: Mokili ya Mzambe, nakuya sasa kumwinu ile mutu ya watu, ile mutu mkulu mkulu kabisa. Ile mutu ya pesa mingi. Click to expand... Bisonyoso ya kimbangisye
Superman said: Mokili ya Mzambe, nakuya sasa kumwinu ile mutu ya watu, ile mutu mkulu mkulu kabisa. Ile mutu ya pesa mingi. Click to expand... Bisonyoso ya kimbangisye
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Sep 4, 2012 #16 Anaitwa Paaa Sylivester Mpole, ni dalali wa magari anapatikana buguruni, he happened to be my student last year (Evening class), alikuwa akiingia darasani lazima watu wacheke kama dakika tano hvi ndo utulivu urejee!
Anaitwa Paaa Sylivester Mpole, ni dalali wa magari anapatikana buguruni, he happened to be my student last year (Evening class), alikuwa akiingia darasani lazima watu wacheke kama dakika tano hvi ndo utulivu urejee!
Superman JF-Expert Member Mar 31, 2007 5,695 1,696 Sep 4, 2012 #18 Safari_ni_Safari said: Bisonyoso ya kimbangisye Click to expand... Nakosala nini?
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,104 Sep 4, 2012 #19 Superman said: Nakosala nini? Click to expand... Nzala na pesa te mokulu
Superman JF-Expert Member Mar 31, 2007 5,695 1,696 Sep 4, 2012 #20 Safari_ni_Safari said: Nzala na pesa te mokulu Click to expand... Ahaaaaa haaaaa basi Mkuu, nimkunyooshea mikono. Respect!
Safari_ni_Safari said: Nzala na pesa te mokulu Click to expand... Ahaaaaa haaaaa basi Mkuu, nimkunyooshea mikono. Respect!