Wacha uwongo toka lini Qur'an inapinga uwepo wa Mungu.
Kule peponi dogo pombe za kule sio za kikristo zinazo poteza watu akili, sex ya kule sio inatoa uchafu. Toka lini peponi ikawa na kahaba? Kwani hio pepo ya kikristo.
dogo hicho ni kisa we nenda kwenye bahari time linatua jua, tazama bahari kama hujaliona linapotea. yani unaongea kama kichaa asiye fahamu. Kweli vipi mnamuita Yesu shoga na kichaa afu mnasema ni Mungu, hivi walio andika bibilia wlaikuwa vichaa kama wasomaji wa bibilia pia?Wewe unauliza kama napinga Quran, kwani wewe unakubali kuwa Jua linazama kwenye tope?, na linakochomoza kuna watu wamewekewa Kinga wasiungue?
Sura 18:86
Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
Surah 18:90
Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
Kule peponi dogo pombe za kule sio za kikristo zinazo poteza watu akili, sex ya kule sio inatoa uchafu. Toka lini peponi ikawa na kahaba? Kwani hio pepo ya kikristo.
dogo hicho ni kisa we nenda kwenye bahari time linatua jua, tazama bahari kama hujaliona linapotea. yani unaongea kama kichaa asiye fahamu.
Sometimes wakristo mnajitoa akili, wakati Qur'an inamuita Mungu ndio Allah, nyie mnasema Allah si Mungu. Sa mbona we unataka sisi tumkubali Yehova ndio Mungu hamuoni kuwa mnakuja na reson za kijinga. Sa wasio jua mana ya nena la Yehova ndio Mungu watakubali yeye ni Mungu? Kweli wakristo ni vichaa.La Ilah Ila Allah
Maana yake Hakuna Mungu Ila Allah, ndio maana Utaona Wauwaji wote wa Kiislam hata kama akiwa anachinja mtu anasema Allah Akbar
Kakende; Sa we unataka kuipinga Qur'an inacho sema, kwa sababu ipi leta dalili zako? Hebu nipe dalili kila kinacho semwa Qur'an basi hakita kuja tokea.
Sometimes wakristo mnajitoa akili, wakati Qur'an inamuita Mungu ndio Allah, nyie mnasema Allah si Mungu. Sa mbona we unataka sisi tumkubali Yehova ndio Mungu hamuoni kuwa mnakuja na reson za kijinga. Sa wasio jua mana ya nena la Yehova ndio Mungu watakubali yeye ni Mungu? Kweli wakristo ni vichaa.
Mzaane wapi duniani au peponi? Yani sijui sa zingine huwa mnakuwa hamna akili.Mwanzo Yehova alisema zaeni mkaijaze dunia, kumbe sasa ngono imegeuzwa kuwa kiburudisho?
Lakini pia kama unapewa Bikra wa kukuburudisha, ana tofauti gani na hawa makahaba wanaojiuza?
Kakende; Sa we unataka kuipinga Qur'an inacho sema, kwa sababu ipi leta dalili zako? Hebu nipe dalili kila kinacho semwa Qur'an basi hakita kuja tokea.
Mzaane wapi duniani au peponi? Yani sijui sa zingine huwa mnakuwa hamna akili.
dogo Qur'an inamuongelea jamaa pale anaitwa Dhul Qarnayn. Yeye ndio alikuwa ana tazama chemchem ya matope time pale Jua linazama yani lina reflex pale, sio Mtume Muhammad.Yuel Dhul Qarnayn yeye hakuw analitazama jua kwa juu time ile, kuna wakati mnadakia kitu hamjui kisa kinaongelea nini. Na mimi nimekupa mfano wa kutazama bahari wakati jua lina zama si utaliona linazama ndani ya bahari au uwongo, sijasema Qur'an inasema vile ni mimi ndio nimekupa mfano kama ilivyo sema Qur'an kuhusu kisa cha Dhul Qarnayn.Wapi kwenye hiyo verse kuna neno Bahari, au unaanza kutumia akili ya kibinadamu kutafuta maana? Hadith Yenyewe inasema Mohammad alisema kuwa jua linazama kwenye tope
Yeap we niambie kuna mnyama kaubwa bila ya kuwa jike na dume.Hapa inasema kila kiumbe kimeumbwa kwa Pair, unakubali kuwa kila mnyama kaumbwa Dume na Jike?
Sura 51:49
And of every thing We have created pairs: That ye may receive instruction.
Eti kwani kuna shida gani we unajua hio cartoon sio shida, tatizo lina kuja kwanini waseme ni ya Mtume Muhammad unadhani Mtume Muhammad sawa sawa na kina Pope au mtu yoyote duniani. Kumbuka kitu hapa Qur'an inasema Mitume wote wako sawa hatuwatofautishi kati ya Yesu na Muhammad au wengine. Isipokuwa kwa Mungu Mtume Muhammad yeye na Mtume Ibrahim ndio kawaweka jua ya Mitume wote, hata Yesu hata weza kumfikia katika utukufu wake.
Sa nyie wakristo mmeisha zowea kutukana Mitume wa Mungu, hata Yesu mnamsema ni gay(Shoga) na hapo hapo mnasema Mungu sa tuwafahamu vipi? According to Gospel of Thomas; Jesus was gay because the "one" he loved was a young, supposedly attractive/ feminine, boy named John. He's got a long woman's hair style he wears a dress and his lover is called John. It's actually in the bible if Christians bother to read it and he lays on Jesus chest. Also, the same boy is caught running away from the romans in the bible and his dress/gown falls down and he is NAKED. Uneducated christians don't read their own lazy book. And in the Gospel Of Thomas Jesus drips the boy naked and spends the night with him teaching him the ways. Read your books lazy Christians. cc 2013 and Ishmael.
Tatizo hujui mana yake si kila kitu binadam anafanya kinaenda kwa uwezo wake, ni Mungu ndio anajalie kiwe vile. Dogo ungemuliza Amstrong alipo rudi mbona akawa muislam, na wengi wakisha toka huko wanakuwa waislam au we hujui hayo.Hapa naendelea KUIPINGA QURAN
Mbona Kuna wazungu wamekwenda hadi Mwezini?, tena waliokwenda hawaijui hata Quran, ni Makafir
Sura 55:33
O company of jinn and mankind, if you are able to pass beyond the regions of the heavens and the earth, then pass. You will not pass except by authority [from Allah ].
dogo Qur'an inamuongelea jamaa pale anaitwa Dhul Qarnayn. Yeye ndio alikuwa ana tazama chemchem ya matope time pale Jua linazama yani lina reflex pale, sio Mtume Muhammad.Yuel Dhul Qarnayn yeye hakuw analitazama jua kwa juu time ile, kuna wakati mnadakia kitu hamjui kisa kinaongelea nini. Na mimi nimekupa mfano wa kutazama bahari wakati jua lina zama si utaliona linazama ndani ya bahari au uwongo, sijasema Qur'an inasema vile ni mimi ndio nimekupa mfano kama ilivyo sema Qur'an kuhusu kisa cha Dhul Qarnayn.
Tatizo hujui mana yake si kila kitu binadma anafanya kinaenda kw auwezo wake ni Mungu ndio anajalie kiwe vile. Dodo ungemuliza Amstrong alipo rudi mbona akawa muislam na wengi wakisha toka huko wanakuwa waislam au we hujui hayo.
Sa unaipinga Bibilia yako inasema Yesu ni shoga na kichaa , sa we bibilia ipi unayo soma.ha ha ha ha ..... hakyanani siku nikijikuta ndugu yangu wa karibu...(licha ya mi mwenyewe) ana uhusiano na hii dini...ntazimia kwa presha....
hebu angalia huu utumbo uloandikwa, nimebaki kucheka tu..maana we sio hata wa kuelimishwa...huna hata chembe ya akili angalau kumpa mtu moyo wa kukuelimisha..
kalagabaho.... acheni tu achorwe kwenye vikatuni..nadhani waliomchora waligundua nilichokiona hapa.
Leta Qur'an dogo sio hadith, Qur'an inapinga hadith sababu ni uwongo mtupu.Soma Hiyo HADITH, inatoa evidence kuwa Jua linazama kwenye tope, maana siku hizi mmeanza kuzikana
Sunan Abu Dawud 3991-Abu Dharr said: I was sitting behind the Apostle of Allah who was riding a donkey while the sun was setting. He asked: Do you know where this sets? I replied: Allah and his Apostle know best. He said: It sets in a spring of warm water.
Wakosefu waakili ndio wanadhani vile, sa we unadhani ndege wanaruka vipi kama sio kwa uwezo wa Mungu. Mbona Pilot wa ndege wakiona ndege ina matatizo kidogo wanamuomba Mungu awasaidie wafike salama au na wao n propaganda pia.Hahahaha, kwa propaganda mko sawa kabisa
Hapa mechanism ya kuruka kwa ndege kulimchanganya Mohammed
Sura 16:79
Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Hakika katika haya zipo ishara kwa watu wanao amini.