Rk10
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,216
- 1,369
Hawa watoto walikuwa wanawezana na walimu, walimu hutoa adhabu kulingana na tabia pamoja na kosa la Mtoto.
Mfano mtoto ambaye ni panya road hawezi kutii mwalimu, hivyo walimu hupambana naye mpaka baadae ananyooka Mwenyewe.
Lakini walimu wakipambana nao mnasema walimu wakatili sana, sasa watoto kama hawa na umeambiwa wengine ni wanafunzi wakikutana na walimu wakaleta ubabe walimu wawaangalie tu?
Kutokana na lawama za wazazi walimu wameweka watoto kwenye makundi, kuna wengine hata wafanye nini hawapewi adhabu.
Adhabu hizi tutakuuja kufidia sisi wazazi watoto hao wakiingia mtaani,
Safi sana walimu upole wenu tunauona,
Acha wazazi waendelee kuwatete baadae wataanza kuwabaka wazazi na Kuwa***ti wazazi hao hao. Walimu Fudisheni tu msitoe adhabu.
Mfano mtoto ambaye ni panya road hawezi kutii mwalimu, hivyo walimu hupambana naye mpaka baadae ananyooka Mwenyewe.
Lakini walimu wakipambana nao mnasema walimu wakatili sana, sasa watoto kama hawa na umeambiwa wengine ni wanafunzi wakikutana na walimu wakaleta ubabe walimu wawaangalie tu?
Kutokana na lawama za wazazi walimu wameweka watoto kwenye makundi, kuna wengine hata wafanye nini hawapewi adhabu.
Adhabu hizi tutakuuja kufidia sisi wazazi watoto hao wakiingia mtaani,
Safi sana walimu upole wenu tunauona,
Acha wazazi waendelee kuwatete baadae wataanza kuwabaka wazazi na Kuwa***ti wazazi hao hao. Walimu Fudisheni tu msitoe adhabu.