Watu hamjui wenzenu wanaacha na vilema vya kudumu.
Kama MTU anakipiga panga la kichwa, bega, unatarajia nini.
Tena Sasa ikitokea umemuua mwenzao Tayari noma nyingine watakuwinda vby Sana. Watakuja tu.
Ikitokea wakagundua inatembea na mguu wa kuku. Bora kwako maana wakipona watakuwa wanakukimbia.
Yaani watajua huyu roho mby hafai