Niuzie niiweke kwa kituo changu cha vipofu, they need to hear not to see!
Pm me.
Jaribu kucheki frequency kwenye sauti na kuzifanyia auto search (kwenye sound) huenda zikaongeaniaje wadau mi na tv ni plasma ina sapot dvb bila hata yakuwa na receiver ina nasa digital tv zote za bongo lakn hazioneshi picha ila sauti. Je ni fanyeje ili ziweze kuonekana
Niuzie niiweke kwa kituo changu cha vipofu, they need to hear not to see!
Pm me.
Jaribu kucheki frequency kwenye sauti na kuzifanyia auto search (kwenye sound) huenda zikaongea
Inawezekana ukiwa decission maker utasababisha mis-use of resources!!