Pamoja na umaarufu alionao Wema Sepetu kwanini hana maendeleo yoyote, Anakwama wapi?

Sikutaka kuyasema ila tu nakuibieni siri katika wanawake wanao honga Wema anatisha ukibahatika kukutana naye kimapenzi uka mkalisha vizuri basi wewe umeramba dume
 
Yaani mimi ndo ningekuwa wema. ningeshafika hatua ya utajiri WA BAHRESA
.list yooote ya mwanaume alotembea nao.
Inamaana walikuwa hawamshauri chochote. Yaani wema ni kilaza mwenye elimu zake
WALIKUWA WANASHAURIANA KUHUSU CONDOM GANI YA KUTUMIA NA HASA YENYE FLAVOUR IPI
 
Yaani mimi ndo ningekuwa wema. ningeshafika hatua ya utajiri WA BAHRESA
.list yooote ya mwanaume alotembea nao.
Inamaana walikuwa hawamshauri chochote. Yaani wema ni kilaza mwenye elimu zake
Ana elimu gani? Ana hata bachelor?
 
Akili zake kazikalia makalioni. Ni mwendo wa kudanga tu. Umri unamtupa yupo yupo tu kama zombi
 
Pamoja na umaarufu alionao wema , ni wapi alipokwama hadi anashindwa kuwa na maendeleo?., Amekosa washauri au tatizo ni nini

Baadhi ya watu wanadai kuwa wema ameshindwa kutumia umaarufu wake kujitajirisha, wengine wanadai kuwa Wema amekuwa akitumika kwa maslahi ya watu wengine bila kujitambua, wakitolea mfano Wcb jinsi wanavyo mtumiaga kwa ajili ya maslahi yao na kumtema

Wema amebahatika kuwa na watu milioni 3.4 wanaomfollow instagram lakini ameshindwa kutumia hiyo nafasi kujitangaza kibiashara kama wanavyofanya wenzie akina Wolper, Esma, Aunt Ezekiel

Wema hadi now hana hata kibanda cha mbao alichojenga, tofauti na umaarufu anaojipa, maisha yake yamekuwa ni ya maigizo kila kukicha

Anakwama wapi , ili tumshauri?
anaendekeza mapenzi badala ya kazi, na pia sio mbunifu kama unavomnadi bali anapenda misifa na ndio tatizo
 
Unao uhakika kuwa hana maendeleo,
Siyo kila staa lazima ajioneshe wazi mitandaoni kuwa anayo pesa.
 
Dah......anapenda kusikika midomoni mwa watu halafu hana asset yeyote zaidi mateso zinapata sehemu za siri......Mamiss wote wenzake wapo mbali yeye amedrop kutoka CEO hadi Host wa Wasafi kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom