Pamechimbika Ubungo

Pamechimbika Ubungo

Elimu ya chuo haiishi mkuu.ndio maana hata wewe unatamani kujiendeleza.kama unadhani mnyika elimu yake ni ndogo tuwakutanishe wewe na mnyika kwenye mdhalo wa wazi tukupime wewe mwenye hiyo elimu na mnyika ambaye hakumaliza shule tuone mziki wake.

Acheni kutumika bhana mimi nimemfahamu mnyika bungeni kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja bila shaka unamuonea wivu tu kwa kuwa ndiye mbunge anayeongoza bungeni kwa kujenga hoja mpaka sasa.hongera mnyika


sie wakazi wa ubungo tumesha mwandalia keneza
 
Kwa upande mwingine hizi biashara za barabarani zinakera sana.
Mfano Buguruni:
Barabara kutokea Chama (au sheli) hadi sokoni ni shida kwa watembea kwa miguu maana njia yao imejaa biashara.
Kule feri jijini dar;
Watu wanafanya biashara kwenye eneo la ujenzi wengine wanaonesha mazingaombwe kitu ambacho ni hatari na usumbufu kwa mafundi wa ujenzi.
 
Hayo sio maeneo ya Biashara na wanavunja sheria. Wabongo tunataka utawala wa sheria mbona mnalalamika. Wangekuwa wameletwa na Jiji sawa, ila wamekuja wenyewe na waondoke wenyewe na serikali haihusiki kiwatafutia sehemu ya kwenda.
 
Back
Top Bottom