Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
Elimu ya chuo haiishi mkuu.ndio maana hata wewe unatamani kujiendeleza.kama unadhani mnyika elimu yake ni ndogo tuwakutanishe wewe na mnyika kwenye mdhalo wa wazi tukupime wewe mwenye hiyo elimu na mnyika ambaye hakumaliza shule tuone mziki wake.
Acheni kutumika bhana mimi nimemfahamu mnyika bungeni kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja bila shaka unamuonea wivu tu kwa kuwa ndiye mbunge anayeongoza bungeni kwa kujenga hoja mpaka sasa.hongera mnyika
sie wakazi wa ubungo tumesha mwandalia keneza