Pambano la machozi na damu

chaUkucha

JF-Expert Member
May 28, 2012
3,382
1,208
82408d643112a883a81986ac27df5515.jpg

Sasa uyu darasa amekusanya kijiji cha mashabiki we mziki.....ila leo namtupa mikononi mwa simba tuone kama atabaki SALAMA mbele ya mnyama uyu wa kigoma toka msitu wa gombe.....
Wewe mfurukutwa wa darasa...
Tambua Leo wewe ndo komborela lenyewe na mondi mlinda kopo.
CHONDE CHONDE uje kubutua ili darasa asalimike....embu mpigie kura tuone.
SIMBA VS JESHI LA WANA (darasa)
Nani mfalme wa bongo fleva?
 
82408d643112a883a81986ac27df5515.jpg

Sasa uyu darasa amekusanya kijiji cha mashabiki we mziki.....ila leo namtupa mikononi mwa simba tuone kama atabaki SALAMA mbele ya mnyama uyu wa kigoma toka msitu wa gombe.....
Wewe mfurukutwa wa darasa...
Tambua Leo wewe ndo komborela lenyewe na mondi mlinda kopo.
CHONDE CHONDE uje kubutua ili darasa asalimike....embu mpigie kura tuone.
SIMBA VS JESHI LA WANA (darasa)
Nani mfalme wa bongo fleva?
a65e00621faa03d2e78e945ce8a7afba.jpg
 
Mwanafa: Ingekuwa vipi Balozi na Mr.Two wafanye vita ulingoni tuseme su, unadhani nani kati yao angeibuka mikono juu?

Jibu: Ingekuwa soo Balozi na Mr.Two wafanye vita ulingoni tuseme su, kwani haiwezekani kumpambanisha mshkaji na Mr.Two

Nimekumbuka hii mistari ya FA na jibu alilopewa na hao washkaji( nimewasahau jina)

Haiwezekani kumpambanisha mshkaji na Baba Tiffah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom