Wewe, acha porojo za kipuuzi, Shigongo hawezi kufanya vitu vya maana kwa sababu zifuatazo:
- Ni kada wa CCM chama dhaifu
- Ni mmliki wa udaku na kwahiyo amekaa kidaku tu
haya masihara na pesa za watu mh! Alafu watanzania wakishabikia michezo ya nje mnawaona si wazalendo hapa ni Busara Wizara iseme neno