yohanakomaga
Member
- Jun 23, 2011
- 20
- 5
vipi kati ya Wema na Wolper?
Ni utapeli tu wa waandaaji kula pesa zetu kwani walijua mapema toka jana kuwa cheka hatapigana leo,aliwambia waweke mkanda sio pambano la bonanza kama hilo,angekuwa kakimbia asingekuja pale kavaa suruali jinzi na tshirt tu kwa hiyo waandaji walijua hamna kitu,na Shigongo kazidi utapeli kuanzia kwenye magazeti mpaka kwenye matamasha.inabidi adhibitiwe.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Shigingo ni mpuuzi na he is full of shit. Tumeenda kucheki pambano hilo. Badala ya kutoa pesa kwa Cheka, yeye anabania pesa. Cheka akagoma kupigana mpaka apewe chake. Eti kaSeba akapewa ushindi na zawadi yake.
Huyo mwanamuziki mbana pua Roma hakujitokeza.
Huyo Diamond na kameleoni hawajashuka kwenye hiyo helkopter kama ilivyo advertiziwa.
Ila watu walikua wengi wa kutosha.
Nahisi mabweni yataojengwa kwa ajili ya wasichana yatawezekana lakini hayatakuwa mengi kihivyo coz lengo la tamasha ni kuchangia hilo.
Shigongo u suck
Kwa nini alipima uzito na kutoa tambo kwamba atampiga Kaseba na isitoshe bado alifika uwanjani?Wajinga ndiwo waliwao.
Huyu jamaa alikataa na kuonesha dalili zote, isipokuwa waandaaji wamewatapeli mashabiki wakiujua ukweli.