Palizi la bustani

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,914
Wajameni habarini za mchana?

Najua muko poa na kama kawa wale waliohadiana kutoana lunch wamefanya hivyo na wale wa kuchomeshwa mahindi nao wameyachoma sanaaaa hadi yameungua

Msijali hata na kesho nayo ni siku na huyo mrembo ataibuka tu

Mchana huu kweupe nataka tuambizane hapa kuwa ni palizi gani zuri kwaajili ya bustani

Kuna wengine wanadai kuwa bustani inahitajika iwe haina majani kabisa na wengine wanadai kuwa ni vyema vimajani vikakatwa na kubakia kama vinaota vile ili wakato wa kurutubisha bustani vikiwa kama vinakuchoma hivi vinaongeza nakshi na burudani

Najua kila mmoja ana maoni yake lakini kwa upande wa baba paroko anashauri bustani isikatwe kwani kwenye urutubisho vile vijamajani vinavyokuwa vinakuwa vimebakia vinapokuchoma wakati wa urutubishaji vinaongeza hamu ya ulimaji na pia munkari ....lol!!!!!!!

Hebu ninong'oneze wewe unapendelea bustani ipi iliyokatwa kabisa na kubaki kama vile haijaota kabisa nyasi au uko upande wangu?

Hebu wakati huu ukishushia na juicy lunch yako sio vibaya ukatuambia maoni yako .
 
Napenda ile bustani yenye vijani kdg maana ina leta raha hasa ukiwa umepumzika bustanini,,, karibu juice ya ubuyu baba paroko.

Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!

Kumbe na wewe unapenda ya vijani vidogo eehhhhh

Aisee hiyo juicy naizimia sana

Hebu nitumie kwa Bluetooth aisee!!!!!!!!!
 
ipo mkuu ila iwe imekatwa au haijakatwa mimi kwangu yote sawa tu cha msingi nguvu tu za kuipalilia hiyo bustani ziwepo za kutosha

Kwahiyo kwako mkuu majibu yote A na B ni sawa?
 
Sasa mkuu bustani ikikatwa si itakua hakuna bustani bali ni uwanja tu!
Bustani ipunguzwe tu na kumwagiwa maji mara kwa mara!
...
Nyumba bila bustani haipendezi asee!
 
Sasa mkuu bustani ikikatwa si itakua hakuna bustani bali ni uwanja tu!
Bustani ipunguzwe tu na kumwagiwa maji mara kwa mara!
...
Nyumba bila bustani haipendezi asee!
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaa!!!!!!!!!

Mkuu umenichekesha sana
Nyumba bila bustani haipenezi eehhh!!!!!!!!
 
Yote kwangu sawa..mkuu sion tofaut kila mtu na kipenda roho chake.....mmlik wa bustan maamuz yake kukata au kuacha ...kwa ni wewe unahitaj bustan au Tunda.

.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…