Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 825
Hamisa Mobeto-Salome.
Mondi hachelewi , hata kwa zari alianza hivyo hivyo, mambo ya project mwisho wa siku project ikapelekea kuzaliwa kwa latifa
Kwa jinsi alivo furahi kuonekana sijui hata kama alilipwa, kama alilipwa si nyingi
Yaani kafanya akiwa proud kabisa, na anataka tujue yeye ndo alikuwepo kwenye kideo
Si ndo ilikuwa project yenyeweMondi hachelewi , hata kwa zari alianza hivyo hivyo, mambo ya project mwisho wa siku project ikapelekea kuzaliwa kwa latifa
Yaan nmeona yuko happy kweliYani hata asipolipwa senti moja kushiriki hiyo project ni malipo tosha. Amefurahi mpaka basi
We acha kabisa Dangote ni sukari ya warembo!mmeanza ufukunyuku.... akt hakuna chochote hpoo
Sio tulitaka ajue ndo kashakua model sasa, mi nawaza tu kama Lulu ataweza kuiangalia hiyo videoKwa jinsi alivo furahi kuonekana sijui hata kama alilipwa, kama alilipwa si nyingi
Yaani kafanya akiwa proud kabisa, na anataka tujue yeye ndo alikuwepo kwenye kideo
Sio tulitaka ajue ndo kashakua model sasa, mi nawaza tu kama Lulu ataweza kuiangalia hiyo video
Wewe unakaa madale?Tabu ipo wapi? Muhimu Zari na mumewe Baba Tiffah wanahesabu pesa.
Inaelekea wengi mlipitwa na sakata la Hamisa kuwemo ktk kideo cha Baba Tiffah...ndio maana mnaona ukimya hakuna udaku tangu jana
Pole yenu kwa kutaka kuchokonoa, tuliyoyafunika zamani.
Alikua anafahamu na alitaka kuwepo kwenye video akaambiwa haifai akae kwa kutulia.Kwaiyo Mnataka kusema zari hakuwa anafahamu chochote kuhusu hii video?
Hakujua kuhusu nyimbo? Hakujua kuhusu model atakae tumika?
Watanzania sisi cjui tukoje.