makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,399
- 4,688
Duh Watanzania sisiAlikua anafahamu na alitaka kuwepo kwenye video akaambiwa haifai akae kwa kutulia.
Duh Watanzania sisiAlikua anafahamu na alitaka kuwepo kwenye video akaambiwa haifai akae kwa kutulia.
Jaman hebu muachen Zari jaman Yuko madale tangu Juz.. kajaaa Tele hana papara.Wewe unakaa madale?
Kwa taarifa yako tunao mwanachama wetu wa SHILAWADU yupo hapo hapo madale kutwa anamwaga miubuyu mitamu ya SHILAWADU.
Hamisa kafit hyo nafasi vizuriAlikua anafahamu na alitaka kuwepo kwenye video akaambiwa haifai akae kwa kutulia.
Wewe unakaa madale?
Kwa taarifa yako tunao mwanachama wetu wa SHILAWADU yupo hapo hapo madale kutwa anamwaga miubuyu mitamu ya SHILAWADU.
Bado hujanishawishi kwa hili.Alikua anafahamu na alitaka kuwepo kwenye video akaambiwa haifai akae kwa kutulia.
umeona ee!? mi nadhani yy ndo alielipa ili aonekane kwenye video. hahahha umaarufu wa TZ kazi.Kwa jinsi alivo furahi kuonekana sijui hata kama alilipwa, kama alilipwa si nyingi
Yaani kafanya akiwa proud kabisa, na anataka tujue yeye ndo alikuwepo kwenye kideo
umeona ee!? mi nadhani yy ndo alielipa ili aonekane kwenye video. hahahha umaarufu wa TZ kazi.
Hahha na wamekomeshwa kweli hahaha wamebak macho kodo kodo wakiongozwa na mama kiherehere ulimwengu mzima hakuna Mangeta kimambiiTabu ipo wapi? Muhimu Zari na mumewe Baba Tiffah wanahesabu pesa.
Inaelekea wengi mlipitwa na sakata la Hamisa kuwemo ktk kideo cha Baba Tiffah...ndio maana mnaona ukimya hakuna udaku tangu jana
Pole yenu kwa kutaka kuchokonoa, tuliyoyafunika zamani.
Hahahaha jaman wabongo nimewanyooshea mikono!
Tz pocble maana si kwa kufurahi huko
HahaaHahahaha jaman wabongo nimewanyooshea mikono!
Looh
Hapo angenuna video ooh mngesema mbaya hajapendezea haya kavaa uhusika ooh kajilipia il aonekane kweny video hahaa hamna jema nyie waja jamani
Btw namuonaga hamissa mambo yake chini chini lkn n kazuri huwez amin kama amezaa
Hamissa hapo m naon kaiachia kabsa cz anajitengenezea njia maana hapo video inaangaliwa afrika nzima so anaweza opoa kaz nyingineHahaa
Video ameitendea haki lakini
Ngoja na yeye afurahi kwa
HaaaHamissa hapo m naon kaiachia kabsa cz anajitengenezea njia maana hapo video inaangaliwa afrika nzima so anaweza opoa kaz nyingine
Ila watz sasaaaaa uhhh
Heh saaaanaa naona amefurahi pia kweli kutoka moyoni na nina his watu wng wanamtamnia kama diva leo nimeona amempa mashout out ya hatar insta amemwambia naona uko level nyingne kbsaaa yaan nikahs huy diva anajifanya ana beef n dai ila naona anatamn sanaaa awe karib yake ila mashauz sasaHaaa
Inaangaliwa dunia nzima mam
Kwa hiyo kafanya la maana sanaa
Nadhani kuwa kwenye kichupa cha mondi lilikuwa ni jambo analo penda sanaa
KideoKwa jinsi alivo furahi kuonekana sijui hata kama alilipwa, kama alilipwa si nyingi
Yaani kafanya akiwa proud kabisa, na anataka tujue yeye ndo alikuwepo kwenye kideo
Heh saaaanaa naona amefurahi pia kweli kutoka moyoni na nina his watu wng wanamtamnia kama diva leo nimeona amempa mashout out ya hatar insta amemwambia naona uko level nyingne kbsaaa yaan nikahs huy diva anajifanya ana beef n dai ila naona anatamn sanaaa awe karib yake ila mashauz sasa
Umoja wingiHuhuhuhuuuu!
Kiswahili pia hiko ndugu
Umoja wingi
Kideo video
Au!