Hawa watu wanasingiziwa.
Ukichunguza vizuri haya matukio unakuta watu wanaotuhumiwa ni wagonjwa waakili. Inasikitisha watu wamefungwa na uelewa mdogo wa mambo wanawaza ushirikina tu.
Huyo bibi anaonekana na yeye anashangaa. Mgonjwa huyo....anafanya hayo watu wanadhani mchawi/mlozi au vyovyote watakavyomwita