Pale mwanaume wa dar alipokosea...

Pale mwanaume wa dar alipokosea...

BOB OS

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
3,462
Reaction score
7,003
i3G9PCS.gif
 
ha ha haaa!!! huyo tayari ameishaenda kwa sir God na hivi wanakula chips pumzi imesha kata tayari!!
 
Si mchezo anachezea vitasa tuonyeshe na wa bara inakuaje
 
Mwanaume inaonekana hakutaka kupigana kiviiile, wakati demu aliamua kutumia uwezo wake wote. Hekima ya mwanaume yamponza.
 
Daaaah imenikumbusha mbaaali sana hii- kuna kipindi nilikuwa namdinya mdada mmoja hivi ,sasa ile tupo ndani mara katokea jamaa kagonga mlango kwa fujo sana pale ( nanihiii fungua mlango!) tukionyeshe kazi hicho kinjemba chako, unanikataa mimi kumbe una mwanaume wako sio!!. Basi yule chuda akaainuka akaufungua mlango na kuufunga kwa nje, aiseee aliwashushia kipigo wale masharobaro( walikuja 2) kipigo cha mbwa mwizi. Wakatokomea, karudi zake ndani kudinyana kukaendelea
 
Sahihisha kichwa cha habari hapo ni koromije mnaseme Dar uyo ni mwanaume wa kanda ya titi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom