Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,092
- 10,780
VITA DHIDI YA UGAIDI YACHAKACHUKA
Hali ya vita dhidi ya ugaidi sasa si shwari tena.Mambo yanazidi kwenda kombo kwa Marekani,ni wakati wa kutafuta kisingizio na kukimbia kabla haijaumbuka zaidi.
Hii ni kufuatia maandishi ya siri za kivita kuvujishwa hadharani na mtandao wa wikileaks.Kwa upande mwengine mpiganaji maarufu wa Taliban bwana Gulbudin Hekmatyar anasema sababu za Marekani kuingia Afghanistan si shambulio la sept.11.
Katika moja ya maandiko hayo ya siri yapatayo 90,000 Marekani imetajwa kulalamika kuwa maaskari wa Pakistan ndio wanaowasaidia Taliban pamoja na kwamba wanalipwa maelfu ya Dola ili kufanikisha kuwakamata hai au wamekufa.
Ndio maana zipo sababu za kutilia shaka shambulio la Uganda siku ya fainali ya kombe la dunia.Raisi Museveni wa Uganda tayari kapanda kichaa ati ataongeza jeshi lake somalia na kuwamaliza Al shabaab.Hajui kwamba anachezeshwa kwata lisilomuhusu.
Hali ya vita dhidi ya ugaidi sasa si shwari tena.Mambo yanazidi kwenda kombo kwa Marekani,ni wakati wa kutafuta kisingizio na kukimbia kabla haijaumbuka zaidi.
Hii ni kufuatia maandishi ya siri za kivita kuvujishwa hadharani na mtandao wa wikileaks.Kwa upande mwengine mpiganaji maarufu wa Taliban bwana Gulbudin Hekmatyar anasema sababu za Marekani kuingia Afghanistan si shambulio la sept.11.
Katika moja ya maandiko hayo ya siri yapatayo 90,000 Marekani imetajwa kulalamika kuwa maaskari wa Pakistan ndio wanaowasaidia Taliban pamoja na kwamba wanalipwa maelfu ya Dola ili kufanikisha kuwakamata hai au wamekufa.
Ndio maana zipo sababu za kutilia shaka shambulio la Uganda siku ya fainali ya kombe la dunia.Raisi Museveni wa Uganda tayari kapanda kichaa ati ataongeza jeshi lake somalia na kuwamaliza Al shabaab.Hajui kwamba anachezeshwa kwata lisilomuhusu.