Pakistan to Suspend Cellphone Service for Friday!!

Mwanamageuko

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
8,602
5,569
It's a strategy to avoid terror [attacks] on Friday,” said an official. Cellular services are likely to be suspended for some time in Karachi, some...!!

Source: Fears Terrorist Attacks Friday Rallies

Wanachoogopa ni Terrorist Attacks au taarifa kusambaa kwamba zinatumika risasi za moto kusambaza waandamanaji? (usisahau.. bado skype, fb na kina yahoo wako online!!) hawa na sisi naona hatuna tofauti WANAWAZIBA WATU MIDOMO!! SI WALISEMA KUNA UHURU WA KUONGEA!

risasi za moto zinatumika!
 
It's a strategy to avoid terror [attacks] on Friday,” said an official. Cellular services are likely to be suspended for some time in Karachi, some...!!

Source: Fears Terrorist Attacks Friday Rallies

Wanachoogopa ni Terrorist Attacks au taarifa kusambaa kwamba zinatumika risasi za moto kusambaza waandamanaji? (usisahau.. bado skype, fb na kina yahoo wako online!!) hawa na sisi naona hatuna tofauti WANAWAZIBA WATU MIDOMO!! SI WALISEMA KUNA UHURU WA KUONGEA!

risasi za moto zinatumika!

sinauhakika juu ya ukweli wa views zako, but, ki intelijensia inaonesha kuwa suicide bombers wengi hutumia electeonic mombs zinazokuwa detonated na kitu kinachofanan na cellphone. Sasa kwa kuwa on friday kunakuwa na mikusanyiko mikubwa huko pakistani na mabomu mengi ya suicide hulipuliwa, ndo maana wanachukua tahadhari ili kupunguza casualities.
 
sinauhakika juu ya ukweli wa views zako, but, ki intelijensia inaonesha kuwa suicide bombers wengi hutumia electeonic mombs zinazokuwa detonated na kitu kinachofanan na cellphone. Sasa kwa kuwa on friday kunakuwa na mikusanyiko mikubwa huko pakistani na mabomu mengi ya suicide hulipuliwa, ndo maana wanachukua tahadhari ili kupunguza casualities.

mkuu, hapo kwenye rangi sijakupata vizuri!
 
sinauhakika juu ya ukweli wa views zako, but, ki intelijensia inaonesha kuwa suicide bombers wengi hutumia electeonic mombs zinazokuwa detonated na kitu kinachofanan na cellphone. Sasa kwa kuwa on friday kunakuwa na mikusanyiko mikubwa huko pakistani na mabomu mengi ya suicide hulipuliwa, ndo maana wanachukua tahadhari ili kupunguza casualities.
zaidi ya watu 14 wameuawa ijumaa! na hakuna mlipuko wowote uliotokea! Waheshimiwa taarifa zao za kiintelijensia huwaambia watu wanakusanyana kwa simu.. ndio maana nikahoji juu ya zi-internet nazo wangeziziba mdomo!

Kwa kweli wakoloni wanatupeleka vibaya, na hivi karibuni WALIOJILIPUA na WENZAO WALIOENDA KWA GREEN CARD! WATAANZA KUTUMIKA ILI KUMLIPA BWANA WAO FADHILA, KAMA WALIDHANI WAZUNGU WANA MAPENZI NAO, NDIPO WATAKAPOUJUA UTUMWA MAMBOLEO NI KITU GANI!!?
 
Back
Top Bottom