Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kumega ni uamuzi wa mwanaume.... Period!
Na kumegwa je?
Kumega ni uamuzi wa mwanaume.... Period!
Ewaaa.... we umenielewa. Huo sasa ni Uamuzi wa mwanamke au mwanaume shoga.Na kumegwa je?
Ewaaa.... we umenielewa. Huo sasa ni Uamuzi wa mwanamke au mwanaume shoga.
Ni kweli dada anaweza kumtimua na je maumivu ya moyo yatakwisha vip akimtizama huyo mmewe
Mmmm hii kaliKaka/dada, mimi nna mke na vibinti viwili. Nikimkuta kaka yangu ananimegea waifu kwa kweli ni afadhali kuliko nikute jitu baki. lol
Kama wewe ni mwanaume, hebu njoo ujaribu kwa waifu wangu ili wenzio wapate fundisho kupitia kwako.
hamna dada wala mume hapo...wote out of your life...how do u live with that betrayal???
Narudia tena, na naomba nirudie kwa msisitizo:
Kama waifu wangu anamegwa na kaka yangu toka nitoke ni afadhali mara 100 kuliko mtu baki kama wewe unimegee. Kama unabisha nikutumie namba zake za simu uanze mchakato ili utoe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hiyo.......... Kitakachokutokea hata ziraili mtoa roho hatapenda kukishuhudia.
Ni heri nilee mtoto wa kaka yangu ailyemzaa na mke wangu kuliko nilee mtoto wa Kaizer aliyezaa na mke wangu......Period!!!
Kwa nini asimtimue huyo mdogo wake hapo nyumbani maisha yakaendelea??
loud and clear!......
hapo ndipo wanawake hutofautiana katika kufanya final-judgement!
from nowhere MWANAMKE NA AKILI ZAKE TIMAMU TENA AT THE AGES OF 30'S(umri ambao wanakuwa very active)....!anapaa kwenda uingereza KUFANYA MBA...!anamuacha jamaa home,tz tena anamleta mdogo wake awe anaishi hapo kuiangalia familia...!halafu anategemea patakuwa ''safe''
1. Kosa la uzinzi ni kunja ndoa no mjadala!
KIVIPI:
2. Bila kumfanya mdogo wake ashtukie wala mumewe ... ajiandalee kisaikolojia, finacialy, kimahusiano... and all other paramiters.. Ajiandae kuomba talaka... asifanye papara ya kuondoaka kwa mmewe ..issue ilikuja ghafla so a focus kuondoaka na polepole ajiandaee... Na ikiwezekana ... amfaye mdogo wake aoelewe/awe commited na mwanaume mwingine...!! Hayo maandalizi lazima yafikie mahali yawe tayari!!
3. Finaly..... Lazima amuache huyo mume hatimaye tena kwa maelezo ya kilichotokea!! Tena kwa kumshtukizia na wakati huo huyo mdogo wake akiwa kwingine!!
Kama hawezi kufanya haya .... she is weak na aendelee na ndoa yake na aliee familia ...!!! Kwani yeye ndio tatizo!!
Dahh huu nitakupa Contact zake za cmu umpe haya maneno mwewe mwenyewe
First Lady number one!
Im dying to get the contact... siunajua mwenzio is in deep pain!!