Padri kachoka kusalisha

dr luv

Member
Dec 19, 2011
23
12
Padri alichoka kusalisha akaamua kujirekodi kwenye kanda ili kila ikifika mda wa sala anasimama na kufungulia redio. Siku 1 akaisahau ile kanda nyumbani akamtuma mtumishi wake akaichukue kumbd kaend kuchukua kanda ya taarabu, mara ikaanza "alamba alamba tena" waumini wote wakaitikia "aaaam aaaam"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…