Padri Baptiste Mapunda: Siasa bila Dini ni Uendawazimu

Padri Baptiste Mapunda: Siasa bila Dini ni Uendawazimu

Uislam uanaamini kuwa dini na siasa kuwa ni kitu kimoja. Ila kanisa enzi za nyerere lilileta influence ya kutenganisha wakatai huohuo wana operate chinichini kwenye siasa kwa kupitia vibaraka wao wa catholic old boys ambao wengi wao walishika nyadhifa mbalimbali serikalini
 
Bila shaka padri utakuwa mwendawazimu.serikali haina dini.
 
We are a long way from separation of church (religion) and state..

Dini na siasa havipaswi kuchanganywa. Wapo wananchi wenye dini na wasio na dini.

Hata hao wenye dini pia wanatofautiana. Kusema kuchanganya vitu hivi viwili ni kuleta malumbano baina ya pande tofauti (wakristo vs waislam vs wasio na dini etc etc)

Leo atakuja mtu na kusema dini yake haimruhusu kulipa kodi, kesho mwingine atasema dini yake haimruhusu kufanyiwa uamuzi na mahakama ya kikafiri.. and the list goes on..

Wenzetu waliona haya miaka 100 iliyopita sisi bado tunangangania kuchanganya vitu hivi viwili.

A secular government is what we need. Padre gani huyu asiyejua historia ya enlightenment era.
 
We are a long way from separation of church (religion) and state..

Dini na siasa havipaswi kuchanganywa. Wapo wananchi wenye dini na wasio na dini.

Hata hao wenye dini pia wanatofautiana. Kusema kuchanganya vitu hivi viwili ni kuleta malumbano baina ya pande tofauti (wakristo vs waislam vs wasio na dini etc etc)

Leo atakuja mtu na kusema dini yake haimruhusu kulipa kodi, kesho mwingine atasema dini yake haimruhusu kufanyiwa uamuzi na mahakama ya kikafiri.. and the list goes on..

Wenzetu waliona haya miaka 100 iliyopita sisi bado tunangangania kuchanganya vitu hivi viwili.

A secular government is what we need. Padre gani huyu asiyejua historia ya enlightenment era.
Jibu hoja
 
huyu MAPUNDA anatabia za ajabu ajabu sana anaona alichokisema ni sahihi kabisa kwa kuwa sisi hatujasoma Psychology yaani MAPUNDA sio binadamu kabisa nahisi SHETANI na AMETUMWA ...
fuatilieni kwa makini sana huyu padri sijui anaharibu haribu tu amani za nchi kibao Afrika ,,,,,,,,,,
sasa sijui huko GHANA ameshindwaaaaa amaaaa.....
NA wakatoliki sijui sikuizi wanaelekea wapi maana nawaonea huruma kwa kuwa na mapadri wasiosoma au ndo vyeti vyao vya jamuhuri jioni University
 
Back
Top Bottom