Padri afumaniwa live akila uroda na mke wa mtu !!!

Padri afumaniwa live akila uroda na mke wa mtu !!!

Status
Not open for further replies.

Gavana

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2008
Posts
33,635
Reaction score
8,954




Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu.
Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!
Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.
“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.
Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.
Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.
“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”
Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.
Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.
Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.
Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.
Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.




 
Du.. hawa watumishi wetu wa kiroho vipi jamani! Juzi napo hapa mtaani kwetu kafumaniwa ustaadh wa madrasa moja akimlawiti mtoto mdogo wa kiume nyuma ya msikiti!
 
Padri naye ni mwanadamu ,anahitaji chakula cha usiku wa manane!
 
Haya ndo matokeo ya kuzuiwa kuoa!


Sent from my EyePhone
 
Mantiki ya kutooa kwa mapadri ni nini?
 
Huyo mmama mwenyewe amenonanona, naona Father maji yalizidi unga. Hivi hapo anaenda kuungama kwa padri mwingine au anajiungamisha mwenyewe?, mi mkatolic lakini hapo sielewi wakuu.
 
Haya ndo matokeo ya kuzuiwa kuoa!


Sent from my EyePhone
Haya sio matokeo ya kuzuiwa kuoa, haya ni matokeo ya tamaa mbaya za Father, kwani wapo wengi waliooa na wanafumaniwa na wake za watu kama kawa.
 
Muslim Imam Rapes Boy Repeatedly Over Three Months

By Douglas V. Gibbs

The United Kingdom's Muslim problem has reached a critical [COLOR=#009900 !important]level[/COLOR] of infestation. No-go zones where Sharia Law is king have law enforcement shying away from Islamic neighborhoods. Even the powerful imams seem to do whatever they please without any concern in regards to the local laws.

In the indoctrination centers (some of us refer to as mosques), the imams do as they please by throwing around their influence as a holy man. A great example is [COLOR=#009900 !important]the news[/COLOR] of the British imam that raped a young twelve year old boy many times inside the mosque over a three-month period.

The 42-year-old imam, Mohammed Hanif Khan, is also charged with attempting to rape the young boy's slightly older, 15-year-old cousin over the same period of time.

Khan used his power and influence as imam of a mosque to separate [COLOR=#009900 !important]the boy[/COLOR] from the congregation, and order the child to complete his prayers in a separate area. Once the child was isolated from the other people, the imam used his special access to young boys while enjoying the protection of his powerful reputation in the Muslim community.

The areas the boys were lured to were private areas of the mosque that were not being filmed by cameras.

With the 15-year-old, Khan used his power as imam to persuade the child to sleep over at the imam's house. Once the young boy was in the imam's home, Khan made his move without any worries.

The imam's misconduct is no less evil than the conduct of any other pedophile, be they a pervert watching the local elementary school, or a Catholic priest using his religious position as the imam did. But, as with any other situation like this, one wonders how many more Islamic mosques suffer from this kind of pedophilia?

The big difference with Islam's pedophilia problem is that the Muslim leaders are simply emulating their prophet. After all, it is well documented that Muhammad was a pedophile as well. In fact, Muhammad's child bride, Aisha, was only 6-years-old when she married the Islamic founder, and Muhammad consummated his marriage with her when she was only 9. He was, at that time, 54 years old.

The only difference between Muhammad and today's imams is now the molested children are boys, too.

Realize, this is not happening at some mosque deep in the Middle East. This was a mosque in the United Kingdom. I couldn't even imagine the types of perverse incidents that are probably happening in Islamic countries in the Middle East, where society is more closed-off and such crimes don't get reported by any media. In Islamic countries, the media is state-controlled, and Islamic leadership does whatever it can to ensure news about pedophilia in the mosques does not get out.
Islam does not allow the questioning of authority, save unless one be willing to suffer dire consequences. Consider: Would the parents of the boy in [COLOR=#009900 !important]question[/COLOR] have been shunned by the Islamic community had they questioned its leader? Quite likely.

I deduce that Islam is a petty religion which robs people of their individuality. It has never truly evolved. It's the same petty religion now as it was when its founder was in bed with a nine-year-old girl.

Islamic Imam Rapes Boy Repeatedly - Topix
 
ri

[h=1]Imam charged with sex offences[/h]
A 48-year-old imam who teaches children about the Koran has been charged with sexually molesting an 11-year-old female student.


According to the charge sheet the incidents are alleged to have occurred in August and September 2009 in the girl's family home south of Stockholm. The 48-year-old was a regular visitor to the apartment and taught the girl and her 14-year-old elder brother about the Koran and the Arabic language.

When the girl finally revealed what she had been subjected to her parents immediately called the police.

"The mother was scared that more children could be exposed," district prosecutor Eva Kokkonen told news agency TT.

The sexual molestation involved the man groping the girl, including her breasts.

"It is always serious when a child is exposed to sexual acts. Especially when it takes place in her home and with a person she should be able to have confidence in. I consider that the man abused his authority and the punishment should be prison," Kokkonen said.

The prosecutor argues that the evidence against the imam is strong.

"The girl's story is reliable and her reaction when she told her parents is typical of abused children. She was very sad and so ashamed that she could barely talk about what had happened. Her big brother who arrived at the lesson later supported her story by testifying to the man's exaggerated indiscretion towards the girl," Kokkonen said.

"He presented himself to me as an imam, I think that makes the crime worse. I am shocked over what he has done," the girl's mother told news agency TT.

The trial will be held in Södertörn district court before the summer. The man denies all charges.

TT/The Local (news@thelocal.se/08 656 6518)


Imam charged with sex offences - The Local
 
Ustaadh aliyemlawiti mwanafunzi afungwa jela miaka 15

Habari na Khamis Amani, Zanzibar -- BAADA ya mahakama ya mkoa Vuga kumwachilia huru mwalimu wa madrasat Qadiria iliyopo Amani wilaya ya Mjini Unguja, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume wa miaka 11, hatimaye mahakama kuu ya Zanzibar imemfunga jela miaka 15.

Uamuzi huo wa mahakama umekuja kufuatia rufaa iliyowasilishwa mahakamani hapo na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya Mkoa.

Mahakama hiyo, chini ya Jaji Abdulhakim Ameir Issa imelazimika kutoa adhabu hiyo baada ya kuridhika na sababu za rufaa zilizowasilishwa na DPP, ambazo zilidai kuwa Mahakama ya Mkoa wa Vuga imekosea kisheria katika utoaji wa hukumu. Hivyo, baada ya kusikiliza kwa kina hoja za pande mbili hizo juu ya rufaa hiyo pamoja na kuangalia vielelezo vya ushahidi vilivyotolewa katika mahakama ya mkoa wakati wa usikilizwaji wa kesi ya msingi, Jaji Abdulhakim alisema:

Mahakama inatengua uamuzi wa mahakama ya mkoa kwa sababu ilikosea kisheria katika utoaji wake wa hukumu, hivyo mahakama hii inaamuru kutumikia chuo cha mafunzo kwa muda wa miaka 15, haki ya rufaa ipo wazi kwa upande ambao haukuridhika na uamuzi huu

Pamoja na adhabu hiyo, Jaji Abdulhakim alimtaka Ustaadh huyo kulipa fidia ya shilingi 500,000 kwa mtoto huyo aliyemfanyia kitendo hicho.

Soma zaidi habari hii kwenye: ZanziNews blog
 
IMAM WHO SEXUALLY ASSAULTED TWO BOYS HAS BEEN JAILED | Daily ...



AN IMAM WHO SEXUALLY ASSAULTED TWO BOYS HAS BEEN JAILED FOR THREE YEARS.

Yazeid Osama Aqqad, 24, of Alfreton Road, Radford, touched one boy when he was sitting on his lap on two occasions and abused another boy after inviting him to sit on his lap.
The mother of the two boys has been “vilified” by the Muslim community for reporting the assaults, Nottingham Crown Court heard.
She has been subjected to “a number of unpleasant incidents” including an episode at her home and damage to her car, Sarah Knight, prosecuting, said.
The mother told the court she felt the acts were aimed at encouraging her to withdraw the allegations because in the eyes of the Muslim community, she had committed a sin.
Aqqad denied the offences during his trial, but was found guilty unanimously of three allegations of sexual assault on a male child under the age of 13 years.
Judge Andrew Hamilton disqualified him from working with children and ordered him to sign the sex offenders’ register for life.
Muslim leaders in Nottingham who were contacted by the Post condemned Aqqad’s actions and said the mother was absolutely right to report him.
Councillor Mohammed Ibrahim, who represents Berridge ward on the city council said: “There are people in every community who break laws and if someone is found to have broken the law, they should be punished.”
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom