Msimamizi wa Jimbo Katoliki Tanga, Pd. Thomas Kiangio, anasikitika kutangaza kifo cha Pd. Richard J. Mshami, kilichotokea tarehe 10/03/2021 katika Hospitali ya Rugambwa huko Dar es Salaam alikokuwa akitibiwa.
Ibada ya mazishi ni siku ya Jumatano tarehe 17/03/2021 huko parokiani Kilole Korogwe Tanga, kuanzia saa 4 asubuhi.