McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre Prosper Kessy wa Jimbo Kuu la Dar es salaam alisema kuwa kuna viongozi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wangezitoa zingeleta ukombozi nchini
Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre Prosper Kessy wa Jimbo Kuu la Dar es salaam alisema kuwa kuna viongozi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wangezitoa zingeleta ukombozi nchini