mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 902
Amesema Yesu Kristo aliandamwa na uongozi wa Kiyahudi siyo kwa sababu alikuwa gaidi au jambazi, bali kwa sababu alikuwa ni tishio kwa mamlaka na vyeo vyao. Amesisitiza Dr. Slaa anaandamwa na CCM kwa sababu ni mwiba kwao na vyama vyenye mrengo wa CCM vinavyoamini katika siasa zisizo na faida. Kama kiongozi wa chama cha upinzani (Chadema) Dk Slaa ana mvuto wa pekee kwa Watanzania bila kujali dini, itikadi, kabila, vyeo wala tabaka la watu.
=================
Chanzo: Mwananchi
Babu amechoka,mpunzisheni